Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

Mchangiaji gani katika hili jukwaa unatamani kukutana nae live?

mbona ninao kibao kwenye makundi ya whatsapp huku
 
Hahaahaa hongera mwenzangu"!kwa kugutuka mie nilimpa double chance....hahaha nahis mkeka wake utakua umechanika lol
Hahaha mkeka wake uko nyang'anyang'a kwa kuchanika! Ulimpa upendeleo wa bure. By the way, asante kwa hongera...
 
Natamani nikutane na wengi mno Joseverest,DJ,Mwifa,Nahuja,Emmyta,shunie,Linamo,Ukuthy,Bonny,Sky,Kichwa kichafu,Young blood,Carba,Eric Otieno na kuna mmoja special baby mama naomba nisikutaje unajijua
Shukran
 
Kunao hawa...1. MissChagga nadhani atakua one funny lady
2. Kuna heaven sent ako na wisdom namna flani
3. Khantwe
4. Ukhuty
5. Heaven on earth, ive been on and off in jf lakini ako na ladha ile ile...LOL!!
6. Deception 🙂
Asee Wapo wengi
Tutakutana IPO siku usijal
 
Abeee, panda ndege mpk mwanza then meli Halafu basi mpk wilayani, hapo tena utachukua hiace mpk center ukifika hapo chukua bodaboda mpk kwenye mto, upande mtumbwi uvuke ng'ambo hapo sasa kuna baiskeli za kukodi mpk kwa mtendaji ushuke sababu kuna mteremko ivo huwezi tumia usafiri tembea kwa mguu km nusu saa tu utanikuta hapa nakusubiri mkuu,

Asante kanyunyu nami natamani nikuonepo
Kapeace Hayo mashartti mbona magumu hivo, njoo jengo la PPF TOWER ukifika ground floor nijulishe nije kukupokea bae wa Kanyunyu.
 
Padre Mcharo ningependa nione angalau sura yake huwa matukio na mada tata ningependa sana kumuona
 
Back
Top Bottom