Mleta mada kawasaidia sana madomo zegeHalafu hii thread imekaa kimtongozo flan hivi...
Umeona eeh! ngoja niendelee kudunduliza za chips snacks aiseee [emoji12]Asante mkuu one day yes
Haha nimeona masela wake wanatajwa kina sumbai, Bonny ndio nikakumbuka vituko vya mzee wa Assist mimi natamani nikutane na Rubi hahaHaha
Upo naye hapo nini?
Poapoa mkuuUmeona eeh! ngoja niendelee kudunduliza za chips snacks aiseee [emoji12]
He he we hisi hivyo hivyo na shunie wako uliyemuumba[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sijui kama unajua ujue naweza kuja kukukimbia kabisa maana ninayemuhisi hapa siye mwenyewe nitakayekutana naye [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bibi flank ivi alishinda shindano La bibi bombaTukinao ndio nini Sergio umeniacha ujue?
Also cocochaneliAisee Mimi naweza weka makundi matatu
1.ninao wakubali kihisi Kali sio za nchi hii natamani hadi kuwatafuna wabichi ni
Kapeace
Joanah
Demiss
2.marafiki Wa kina
Sergio
Jose
Beira
Mwifwa
Behaviorist
3.ninao appreciate michango yao
Mshana Jr
BAK
Kikulachochako
The Bold
Pasco
Sakayo
Wengine miss natafuta mbitiyaza shunie emmyta carba youngblood linamo
Wapo wengi sana.....
[emoji23] [emoji23]
Inaezekana umeshakutana nao ila hujui tuu maana katika kila watu 5 wenye smart nahisi hakosekani hata 1 ambae hayupo jfNatamani nikutane na wengi mno Joseverest,DJ,Mwifa,Nahuja,Emmyta,shunie,Linamo,Ukuthy,Bonny,Sky,Kichwa kichafu,Young blood,Carba,Eric Otieno na kuna mmoja special baby mama naomba nisikutaje unajijua
Unatamani kunipanda hahahahahaha Leo ntakujia ndotoni usisinzie sasaAisee Mimi naweza weka makundi matatu
1.ninao wakubali kihisi Kali sio za nchi hii natamani hadi kuwatafuna wabichi ni
Kapeace
Joanah
Demiss
2.marafiki Wa kina
Sergio
Jose
Beira
Mwifwa
Behaviorist
3.ninao appreciate michango yao
Mshana Jr
BAK
Kikulachochako
The Bold
Pasco
Sakayo
Wengine miss natafuta mbitiyaza shunie emmyta carba youngblood linamo
Wapo wengi sana.....
Unakuja saa ngapi nitege alarm!Unatamani kunipanda hahahahahaha Leo ntakujia ndotoni usisinzie sasa
Kesho nitakutafutaUkitajwa unatutumia walau kapicha tukuone
Mimi napenda nikutane na member yoyote anaenikubali
Kweli kabisa umeongea point sanaInaezekana umeshakutana nao ila hujui tuu maana katika kila watu 5 wenye smart nahisi hakosekani hata 1 ambae hayupo jf
Shunie wangu wa keyboard najijua namuelewa mwenyeweHe he we hisi hivyo hivyo na shunie wako uliyemuumba
Usiku wa mananeUnakuja saa ngapi nitege alarm!
PoapoaKesho nitakutafuta