Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Kwakweli.Coordinator walikuwa members tu wa kawaida. Siku hizi naona utoto umekuwa mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli.Coordinator walikuwa members tu wa kawaida. Siku hizi naona utoto umekuwa mwingi
Aaah kabisa mwenza, hadi akili imkae sawa.Kabisa ajute kuchanganya akili kubwa mbili
Kila jambo na wakati wake, kwa wakati ule ilifaa sana sio sasa kwakweli.Ni jambo zuri lilikua
Hahahaa, sijui kwanini lakini nakubaliana na wewe ile JF ya zamani ilikua tam zaidi japo nilikua sina access ya kuchangiaCoordinator walikuwa members tu wa kawaida. Siku hizi naona utoto umekuwa mwingi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] toto partyKila jambo na wakati wake, kwa wakati ule ilifaa sana sio sasa kwakweli.
Labda iandaliwe toto party.
Aseeh majukumu tu ya kawaida boss.... Nakuona bwana unakamatia fursa huko juu
Nadhani ulishafutwa....Niwekeee basi huo uzi nikachekee mie
Hahahaa, unamaanisha jukwaa limevamiwa na chekechea?Kila jambo na wakati wake, kwa wakati ule ilifaa sana sio sasa kwakweli.
Labda iandaliwe toto party.
Mmmmh.....Kwenye kona inayounganisha Rwanda Uganda na tanzania
Hahaha basi namba yako ya ukweli ihusikeMbona sioni 3HI8KN22 Imethibitishwa?
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85][emoji23] [emoji23] [emoji23] toto party
Jirani na huoMmmmh.....
Mkoa wa akina nshomile siyo kapeace
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dahKila jambo na wakati wake, kwa wakati ule ilifaa sana sio sasa kwakweli.
Labda iandaliwe toto party.
[emoji23] [emoji23] kabisa[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mke mwenza si unakubaliana na hilo?
Huo ni ugaidi mjueHebu panga uje tuonane mke mwenza na tupange mipango mikakati ya kumfilisi yule jamaa.