Jamaa hajaogopa ila ameogopa kurogwa. Akishinda bado atarogwa ili asilipweUyo jamaa kashaogopa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa hajaogopa ila ameogopa kurogwa. Akishinda bado atarogwa ili asilipweUyo jamaa kashaogopa
Hahhahaha @sergio5 hawezi kukudhulumu ila nipe niwashikie ikiwezekana igawanishe Mara mbil ubet zote kwa mhindi hahahhHahaha charty wewe kama sio Mchagga (heshima kwa Wachagga wote) basi wewe Mpare (nawaheshimu pia). Kweli wewe uwe shahidi nitadhulumiwa
Hamnaaa sema huko mbali nataka Mwifwa anileteeMbona wala chenga hivi
Lazima akupe nitakulipia nauliNikipewa usafiri na mshana jr nitakuletea
Ile haina kulipia maana muda wowote unaweza kunaswa ukajikuta uko unapigwa picha na watu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Lazima akupe nitakulipia nauli
EehHamnaaa sema huko mbali nataka Mwifwa aniletee
Hahaha nihakikishie usalama wangu nimetishiwa kurogwa ujue. Mimi niko tayari kutoa hicho kiasi ukae nacho na za mhindi pia utunzeHahhahaha @sergio5 hawezi kukudhulumu ila nipe niwashikie ikiwezekana igawanishe Mara mbil ubet zote kwa mhindi hahahh
Hahaaaaa fanya uniletee mzigo wangu toka kwa SakayoIle haina kulipia maana muda wowote unaweza kunaswa ukajikuta uko unapigwa picha na watu[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hapa hapa[emoji4] [emoji23] [emoji23]Eeh
Umefufukia wapi
Mimi nimeanza kuogopa banaHahaaaaa fanya uniletee mzigo wangu toka kwa Sakayo
NgastukaaHapa hapa[emoji4] [emoji23] [emoji23]
Leta bwana nitakugaia kidogoMimi nimeanza kuogopa bana
Usishtuke bhanaNgastukaa
Lazima nikuingize lose, we subiri tu.Leta bwana nitakugaia kidogo
Hahahah hawezi kukuroga bana namfahamu huyu ndugu Yangu.. we leta zote tu nikutunzia mie ni zaidi ya bank[emoji5]Hahaha nihakikishie usalama wangu nimetishiwa kurogwa ujue. Mimi niko tayari kutoa hicho kiasi ukae nacho na za mhindi pia utunze
Bora ufikeLazima nikuingize lose, we subiri tu.
MmmhhhNgastukaa