Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Kuna jamaa mwamba wangu amenipa sugestion ya hii chuma katika kusakanya mkangafu wa kutunishiana misuri rodini huko.. toka jana nimekua na google nacheki youtube kuhusu hii chuma..
Mie ni mpenzi wa sedan ila huku mikoani ambapo nahamia kubaya sana kila siku kuna uwezekano wa kung'oa au bumper au kupasua sump.. uzoefu wenu wa kifundi na yale mambo yetu.. Kuhusu TRA na Bei ni kufumba macho, unakula kutokana na kamba yako tu...
Specification za gari;
Copy: -
JituMirabaMinne
RRONDO
Offshore Seamen
Bavaria
wa kupuliza
black sniper
mtongwe
Boeing 747
Bila kuwasahau watu wa Tokyo Extrovert na Karma
Mie ni mpenzi wa sedan ila huku mikoani ambapo nahamia kubaya sana kila siku kuna uwezekano wa kung'oa au bumper au kupasua sump.. uzoefu wenu wa kifundi na yale mambo yetu.. Kuhusu TRA na Bei ni kufumba macho, unakula kutokana na kamba yako tu...
Specification za gari;
- Engine capacity 5.0L
- Cylinder V8
- Power 370bhp
- Torque 510Nm
- Tank capacity 86.3 litres
- Aspiration Normal
- Weight 2583kg
-
Copy: -
JituMirabaMinne
RRONDO
Offshore Seamen
Bavaria
wa kupuliza
black sniper
mtongwe
Boeing 747
Bila kuwasahau watu wa Tokyo Extrovert na Karma