Mchango na uzoefu wenu kwenye Discovery 4 5.0L V8 (Mawazo)

Mchango na uzoefu wenu kwenye Discovery 4 5.0L V8 (Mawazo)

Atleast ungekuwa hata na options 5 za SUVs unazotaka kununua.

Land Rover zina reliability issues, kuishi nayo mkoa itakukwaza sana. Ingekuwa unakaa nayo mjini hapa sawa.

Atleast weka options nyingine kama 4 uanze research upya.

Ingekuwa mimi ni wewe, discovery nisingeiweka kwenye options zangu.

Hujawahi kuwaza 2017Audi SQ7, ni 4l diesel, inakupa 429hp na 664lbft torque.
Sasa audi ndio ya kwenda nayo kuishi huko kisulu?! Embu kuwa serious basi
 
Nimeona Suzuki Jimmy hizi latest nazo Ni used? SA Used labda zile zilizopata ajali au za wizi ambako Interpol ipo siku watakuletea noma
Used naweza kununua leo kesho siitaki nawapelekea dealer wa hiyo gari wanauza sio mpya tena hiyo...huku hakuna unachojua Mkuu uliza utaelekezwa magari SA ni mengi kuliko unavyodhania na bei za kawaida tuu..
 
Used naweza kununua leo kesho siitaki nawapelekea dealer wa hiyo gari wanauza sio mpya tena hiyo...huku hakuna unachojua Mkuu uliza utaelekezwa magari SA ni mengi kuliko unavyodhania na bei za kawaida tuu..
Bei ya kawaida Ni ngapi Mkuu?
 
Rush link basi
Nisharusha humu ila ni kufungua na kuangalia tuu Matapeli yamevamia huko watu wengi wanalia huko ambao wanataka kununua kama Japan makampuni sahihi yapo ila mara ya kwanza ni bora uende harafu trip zinazofuata unamtuma dereva tuu akapakie..
 
Gari za South mnunuzi ndio anapata faida nyingi kama kununua na kupata gari Kwa muda mfupi, una save zaidi ya million 4 Kwenye pesa ya Freight on Board,Pre Purchase Inspection,Port Charge's.

Na gari kama mbovu ikija Kwa kutembea tatizo unajua Kabla haijafika, gari nyingi za Bondeni zimeingia Kwa road trip
 
Back
Top Bottom