Hii inabadilisha vipi Maisha ya Watanzania wenye shida sana? Kwa akili kama hizi then tutarajie hata kuwafikia wakenye robo? Kutwa nzima ni maada za kijinga tupu. Ujinga umejaa sana wabongo.Makamu Mwenyekiti aliomba mchango wa V8 mpya. Je umefika kiasi gani?
Ni chuki binafsi kwa watu. Mtu hafanyi kazi muda wote akiombea wengine wasipate.Hii inabadilisha vipi Maisha ya Watanzania wenye shida sana? Kwa akili kama hizi then tutarajie hata kuwafikia wakenye robo? Kutwa nzima ni maada za kijinga tupu. Ujinga umejaa sana wabongo.
Kwani hata ikiwa ni ya M/kiti inakuuma nini na hukuchangaaaa1. Makamu Mwenyekiti aliomba mchango wa V8 mpya. Je umefikia kiasi gani? Usikute akaunti ni ya Mwenyekiti.
2. Utafika sehemu Makamu Mwenyekiti nae Njaa itamzidi atimkie CCM
Mbona kimya mkuuNgoja waje
Vumilia mkuuMbona kimya mkuu
Dah! MkuuVumilia mkuu