johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Samtaimz usaliti 'unalipa'!Kiukweli Chadema wana mchango wa kutosha katika serikali yetu na hasa katika level ya uwaziri.
Mawaziri wafuatao wamewahi kutumika pale Ufipa katika level tofauti za uongozi kwa nyakati tofauti tofauti.
1. Prof Kitila Mkumbo
2. Mh Pauline Gekui
3. Mh Patrobas Katambi
4. Dr Godwin Mollel
5. Mh Mwita Waitara
6 Mh David Silinde
Ni vema vijana wa CCM mnapoibeza Chadema msisahau huu mchango wao mkubwa kwenye utumishi wa Umma.
Nasisitiza; Maendeleo hayana vyama!
Unasaliti Kabla Jimbi(Jogoo) Hajawika!!Samtaimz usaliti 'unalipa'!
Huyo Pascal ni kichefuchefu tu,anaongea sana mpaka mate yanakauka ila bila bilaKatika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Eti pascall njaa dah !![emoji16][emoji16]Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Ameshatumika sana,muda wake umeisha,hapo ulipo sisitiza " Juliana Shonza emefeli " π€£π€£π€£
Jamaa ni mchawi. Analoga sana. Ngoja tukamilishe ushahidi wake hapa.Mwita Waitara sijui ana nini yule jamaa.
Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Chadema ni kama Adrenal,Kiukweli Chadema wana mchango wa kutosha katika serikali yetu na hasa katika level ya uwaziri.
Mawaziri wafuatao wamewahi kutumika pale Ufipa katika level tofauti za uongozi kwa nyakati tofauti tofauti.
1. Prof Kitila Mkumbo
2. Mh Pauline Gekui
3. Mh Patrobas Katambi
4. Dr Godwin Mollel
5. Mh Mwita Waitara
6 Mh David Silinde
Ni vema vijana wa CCM mnapoibeza Chadema msisahau huu mchango wao mkubwa kwenye utumishi wa Umma.
Nasisitiza; Maendeleo hayana vyama!
Mtendaji kata hateuliwi na wewe, huyo ni mtumishi wa ummaPascal Njaa labda atakumbukwa katika nafasi za Wakuu wa Wilaya au Mtendaji wa Kata.πππ
π²π²π²Jamaa ni mchawi. Analoga sana. Ngoja tukamilishe ushahidi wake hapa.
cc: Wakudadavuwahapo ulipo sisitiza " Juliana Shonza emefeli " π€£π€£π€£
Hahahaaaa....... Endelea kukariri bwashee!Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?