johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Hahahaaaa....... Mgawanyo wa shughuli bwashee.Sisi tumeridhika kuwa wapiga debe au siyo bwasheh acha tuendele kuwa wapiga debe tu😂
Ova
Wote hatuwezi kuwa mawaziri ndio maana tunatest mitambo mipya akina Gekui, Katambi na Silinde!