Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Tumuulize brother wakudadavua juu ya hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa........Silinde kafanya yake!Tumuulize brother wakudadavua juu ya hili.
Ile jeuri imeishacc: Wakudadavuwa
Na wewe endelea kukesha mtandaoni kutwa kucha hata utendaji wa mtaa hawakupi ila wageni ndio wanapeta .Hahahaaaa....... Endelea kukariri bwashee!
Naona vipenyo watupuKiukweli Chadema wana mchango wa kutosha katika serikali yetu na hasa katika level ya uwaziri.
Mawaziri wafuatao wamewahi kutumika pale Ufipa katika level tofauti za uongozi kwa nyakati tofauti tofauti.
1. Prof Kitila Mkumbo
2. Mh Pauline Gekui
3. Mh Patrobas Katambi
4. Dr Godwin Mollel
5. Mh Mwita Waitara
6 Mh David Silinde
Ni vema vijana wa CCM mnapoibeza Chadema msisahau huu mchango wao mkubwa kwenye utumishi wa Umma.
Nasisitiza; Maendeleo hayana vyama!
wote hapo ni vipenyoWaitara ni afisa dimeter
Hahahaaaa.......endelea kukariri meku!Na wewe endelea kukesha mtandaoni kutwa kucha hata utendaji wa mtaa hawakupi ila wageni ndio wanapeta .
Hao huwa wanapata posho ya buku Saba,polepole akiamka vizuri anawapa hata teni!Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Sisi tumeridhika kuwa wapiga debe au siyo bwasheh acha tuendele kuwa wapiga debe tu😂Hahahaaaa.......endelea kukariri meku!
Analia huko Twitter kama alizaliwa na waziri. Kuroga ni janga kubwa. Muulizieni Mshana😂😂😂😀Real is Real.
Dr. Chamuriho na Dr. Gwajima utendaji wao umewabeba. Leo hii wamebeba uwaziri kirahisi tuu.
Nyie mnapambana kutumia nguvu kumpamba mkuu ili mpate uteuzi kama akina Kigwa pambaneni na hali zenu.
Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, Waitara alikuwa Chadema tangu akiwa UDSM kabla ya kuhamia CCM kipindi cha JK na baadae akarudi Chadema kisha CCM tena, hivyo akiitwa 'zao' la Chadema nadhani bado ni sahihi.Mwita Waitara na Godwin Mollel walihama CCM kwenda ChADEMA kisha wakarejea kwao hawezi kuwa zao la CHADEMA
Mkuu, hivi walipokuwa wanatangaza majina ya walioteuliwa walikuwa wanatangaza na ID zao za hapa JF 🤔Katika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Jamaa ni mchawi. Analoga sana. Ngoja tukamilishe ushahidi wake hapa.
Sio kila mtu ni kipenyowote hapo ni vipenyo