johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #41
Hahahaaaa....... Mgawanyo wa shughuli bwashee.Sisi tumeridhika kuwa wapiga debe au siyo bwasheh acha tuendele kuwa wapiga debe tuπ
Ova
Waitara alikuwa mpishi wa Nchimbi pale UVCCM!Kama kumbukumbu zangu ziko sahihi, Waitara alikuwa Chadema tangu akiwa UDSM kabla ya kuhamia CCM kipindi cha JK na baadae akarudi Chadema kisha CCM tena, hivyo akiitwa 'zao' la Chadema nadhani bado ni sahihi.
Lakini uwe na roho ngumu kwani unaweza kuweweseka usikunafsi mbili dani ya mwili mmoja si kazi ndogo!!Samtaimz usaliti 'unalipa'!
Demokrasia
hao mpaka ushahidi upoSio kila mtu ni kipenyo
Bado wengine siku zijazo kina mdee matiko maana mnashindwa watumia vizuri muuende serikali yenuKiukweli Chadema wana mchango wa kutosha katika serikali yetu na hasa katika level ya uwaziri.
Mawaziri wafuatao wamewahi kutumika pale Ufipa katika level tofauti za uongozi kwa nyakati tofauti tofauti.
1. Prof Kitila Mkumbo
2. Mh Pauline Gekui
3. Mh Patrobas Katambi
4. Dr Godwin Mollel
5. Mh Mwita Waitara
6 Mh David Silinde
Ni vema vijana wa CCM mnapoibeza Chadema msisahau huu mchango wao mkubwa kwenye utumishi wa Umma.
Nasisitiza; Maendeleo hayana vyama!
Watasugua bench hadi makalio yaote sugu kudadadeqKatika baraza la mawaziri lililotangazwa leo , wahamiaji kutoka upinzani wameula huku wafia chama kindakindaki Wakiendelea Kusugua benchi . Waliokuwa wapinzani na wamepata uteuzi ni Mwita Waitara , Pauline Gekul , David Silinde , Protobas Katambi huku wafia chama kina Pascal Njaa , Johnthebabtist , Etwege ,Mama D , Kawe Alumni licha ya kukesha mtandaoni lakini wanaendelea kusugua benchi sijui mpaka lini?
Mtela yupo wapi nowadays?Ameshatumika sana,muda wake umeisha,
Amemfata jamaa yake Mtela Mwampamba.