Mchango wa Ester Matiko Bungeni na Reaction ya Serikali na kiongozi wa Bunge inaumiza na kusononesha

Mchango wa Ester Matiko Bungeni na Reaction ya Serikali na kiongozi wa Bunge inaumiza na kusononesha

1. Esta anasema kuna wanawake walikutwa wakikusanya kuni wakabakwa, je hilo kosa linahalalisha kubakwa?

2. Kwanini askari wachukue kijana waondoke naye halafu kijana atoweke mazima? Na kwa mujibu wa Esta walimchukua nyumbani kwake.
Hata kama mifugo yake anayochunga iliingia ndani ya hifadhi, kwanini asipelekwe mahakamani kunakopatikana haki, badala yake anapotezwa (yaani anauawa) na hao askari wa hifadhi?!!!
Uhai wa Watanzania umekosa thamani kabisa mbele ya hawa watawala wa ccm?!
Hizo ni
Akili yako haipo sawasawa.
Wewe unacho kisomo cha aina yoyote, mbali ya kujuwa kuandika?

Nasikitika nimepoteza muda wangu kusoma huu uchafu ulioweka hapa.
sawa asante
 
Ndugu yangu,kwa maandiko yako naona jinsi usivyo makini kwenye hitimisho lako..nimeishi ndani ya Hifadhi ya Serengeti ,Nina marafiki ma ranger na nimeishi nje ya Hifadhi ya Serengeti.. wapo Askari walipaswa kuwa jela kwa mauaji.Nenda kuishi..Under cover then uje u some tena Uzi wako.
Ni askari gani atakuua bila kosa? Hivi askari wangapi wanauawa kwa flag ya ‘wako kazini?’ Na hakuna mbunge anayetetea.

Msiangalie upande mmoja, hao watu ni wahalifu hata wewe kama ulidhurka upo umo umo tu.

Heshimu sheria bila shuruti hakuna atakayekubaka, kuua etc. Btw kama wamebakwa si wakashtaki ili wahusika wakamatwe kwa kubaka, mbona simple tu.

Ukikaidi utapigwa tu
 
Yna
Ni askari gani atakuua bila kosa? Hivi askari wangapi wanauawa kwa flag ya ‘wako kazini?’ Na hakuna mbunge anayetetea.

Msiangalie upande mmoja, hao watu ni wahalifu hata wewe kama ulidhurka upo umo umo tu.

Heshimu sheria bila shuruti hakuna atakayekubaka, kuua etc. Btw kama wamebakwa si wakashtaki ili wahusika wakamatwe kwa kubaka, mbona simple tu.

Ukikaidi utapigwa tu
unaishi nchi gani gani ndugu yangu?
 
Back
Top Bottom