Mchango wa Ester Matiko Bungeni na Reaction ya Serikali na kiongozi wa Bunge inaumiza na kusononesha

Hizo ni
Akili yako haipo sawasawa.
Wewe unacho kisomo cha aina yoyote, mbali ya kujuwa kuandika?

Nasikitika nimepoteza muda wangu kusoma huu uchafu ulioweka hapa.
sawa asante
 
Ni askari gani atakuua bila kosa? Hivi askari wangapi wanauawa kwa flag ya ‘wako kazini?’ Na hakuna mbunge anayetetea.

Msiangalie upande mmoja, hao watu ni wahalifu hata wewe kama ulidhurka upo umo umo tu.

Heshimu sheria bila shuruti hakuna atakayekubaka, kuua etc. Btw kama wamebakwa si wakashtaki ili wahusika wakamatwe kwa kubaka, mbona simple tu.

Ukikaidi utapigwa tu
 
Yna
unaishi nchi gani gani ndugu yangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…