Kapetibovu
Member
- May 2, 2020
- 60
- 58
- Thread starter
-
- #41
Mkuu hapo kwenye wiki mbili bila kuumwa sijakuelewa.Ushauri wangu, oa. Ikiwezekana hata jana. La msingi mkeo asiwe spana mkononi, asiwe mtu ambaye kupitisha wiki mbili bila kuumwa serious kwake ni ajabu. Hilo ni la msingi kuliko yote, niamini mimi
Acha ubaguzi dogo, hata huyo anastahili kupendwaUshauri wangu, oa. Ikiwezekana hata jana. La msingi mkeo asiwe spana mkononi, asiwe mtu ambaye kupitisha wiki mbili bila kuumwa serious kwake ni ajabu. Hilo ni la msingi kuliko yote, niamini mimi
Hujui maana ya wiki mbili? Au hujui maana ya kuumwa?Mkuu hapo kwenye wiki mbili bila kuumwa sijakuelewa.
Mkuu hii kauli yake sijailewaHujui maana ya wiki mbili? Au hujui maana ya kuumwa?
Nashindwa hata kukuelewesha maana sentensi ipo wazi ngoja aje mwenyeweMkuu hii kauli yake sijailewa
"wiki mbili bila kuumwa serious kwake ni ajabu. "
Mi ndo nashangaa. Sa anaulizaje swali kama hilo.Hujui maana ya wiki mbili? Au hujui maana ya kuumwa?
Mi sifanyi hiyo kazi. Kauli ipo wazi.Nashindwa hata kukuelewesha maana sentensi ipo wazi ngoja aje mwenyewe
Sawa mkuu unataka kadi ya double au single?Mengi wadau washasema.
Me naomba kadi ya mwaliko mkuu nije kuwawakilisha wana jf.
Amiina🙏🙏Kila la kheri mkuu..naona wadau huko juu wamemaliza yote..Mungu akasimame nanyi.
Ahsante sana Mkuu Nimekuelewa hapo kwenye uvumilivu wenye kikomo.Kila ka kheri,
Sifa uvumulivu, ila wenye limit
Ha.. ha.. ha.. ha.. ha.. ha.. ha.. Nipo vizuri kwenye icho kitengo Mkuu.hakikisha unampa mauno kama ya Gwajima.
Uko na video tuone?Ha.. ha.. ha.. ha.. ha.. ha.. ha.. Nipo vizuri kwenye icho kitengo Mkuu.