KMMS
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 304
- 586
Nawasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania "KAZI IENDELEE"
Waungwana Hii Imekaaje? Watumishi wa Serikali Kuchangia 1000 Kwenye Mbio Za Mwenge.
Hapa KILIMANJARO Nimeona Watumishi wa Serikali Hasa Waalimu Wanalalamika.
Inakuwaje Wapitishiwe Mchango Kuuchangia Mwenge?
1. Inamaana Huo Mwenge Ili Kuzunguka Na Kumulika Tanzania Hauna Bajeti?
2. Mtumishi Ambaye Ni Mwaka Wa 6 Sasa Hana Nyongeza Ya Mashahara Bado Mnamkamua?
3. Je, Maagizo Haya Madam President Kayabariki?
Nawasilisha.
Waungwana Hii Imekaaje? Watumishi wa Serikali Kuchangia 1000 Kwenye Mbio Za Mwenge.
Hapa KILIMANJARO Nimeona Watumishi wa Serikali Hasa Waalimu Wanalalamika.
Inakuwaje Wapitishiwe Mchango Kuuchangia Mwenge?
1. Inamaana Huo Mwenge Ili Kuzunguka Na Kumulika Tanzania Hauna Bajeti?
2. Mtumishi Ambaye Ni Mwaka Wa 6 Sasa Hana Nyongeza Ya Mashahara Bado Mnamkamua?
3. Je, Maagizo Haya Madam President Kayabariki?
Nawasilisha.