Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.
Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?
Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake
Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?
Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?
Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Maelezo kidogo ya muwakilishi wa wananchi wa Bunda vijijini hayo hapo chini
Hapo ulevi umeongelewa pia kuna ngono sana tu vyuoni. Yaani wanachuo wana tabia nyingi mbaya cong ambazo hawakwenda kuzisomea ila wanaenda kuzi adapt. Ulevi na ngono ni mwingi sana vyuoni na ni sugu, wanafunzi wanajifunza tabia za ajabu katika atmosphere ya chuoni japo haikuwa specific object
huyo mbunge labda ana mtoto au ndugu yake yupo chuo ni mlevi, hv boom linatosha mpaka kulewea? nikiwa chuo hata msosi tu lilikuwa halitoshi, watu talikuwa wanakula mikate ili angalau siku zisogee kabla hatujaaza kupiga mizinga kwa ndugu, leo mbunge anasema wanachuo wanalewea boom? maajabu haya
Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu,niwalevi,na hawasomi.
Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?
Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding?
Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake
Je hakuna wabunge walevi,?
hakuna wabunge ambao hawana nidhamu?
Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma?
Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?
Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?
Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada?
Mbunge huyo amejiaibisha,ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni
Hapo ulevi umeongelewa pia kuna ngono sana tu vyuoni. Yaani wanachuo wana tabia nyingi mbaya cong ambazo hawakwenda kuzisomea ila wanaenda kuzi adapt. Ulevi na ngono ni mwingi sana vyuoni na ni sugu, wanafunzi wanajifunza tabia za ajabu katika atmosphere ya chuoni japo haikuwa specific object
Penye watu wengi hapakosekani mambo mambo mkuu, hata wanachuo nao wana hamu shekhe, kwa hyo unataka mtu akate miaka mitatu bila kugegeda au kugegedwa, taratibu shekhe ile ni suna atiii.
Hizo tabia zipo chuoni ila sio kwa kiwango ambacho mnataka kukizungumzia, Hizo ni tabia binafsi ambazo zipo kwenye comunity yoyotr ile, mbona bar zinajaa madingi na vijana wakubwa kuliko hao watoto wa chuo, alaf hiyo laki tano mnampa mtu atumie miezi miwili bado mnawasimanga nayo,
Pesa haitoshi hata kutimiza mahitaji ya kitaaluma kama vyuo vyetu vingekua serious, alaf bado mnataka kupata wahitimu bora huku wamesoma kwa tabu msijue kila kitu ni msingi
Hapo ulevi umeongelewa pia kuna ngono sana tu vyuoni. Yaani wanachuo wana tabia nyingi mbaya cong ambazo hawakwenda kuzisomea ila wanaenda kuzi adapt. Ulevi na ngono ni mwingi sana vyuoni na ni sugu, wanafunzi wanajifunza tabia za ajabu katika atmosphere ya chuoni japo haikuwa specific object
Utaweza kuelewa akili za mtu once akiongea ,unaweza kumuona mtu yupo smart mpk pale atakapoongea au kutoa wazo ndio utajua huyu ni mwerevu/mjinga/ana roho mbaya/nzuri.Huyu mbunge mawazo yake yameishia mwisho wa upeo wake hajawaza mbali
Hapo ulevi umeongelewa pia kuna ngono sana tu vyuoni. Yaani wanachuo wana tabia nyingi mbaya cong ambazo hawakwenda kuzisomea ila wanaenda kuzi adapt. Ulevi na ngono ni mwingi sana vyuoni na ni sugu, wanafunzi wanajifunza tabia za ajabu katika atmosphere ya chuoni japo haikuwa specific object
Hapo ulevi umeongelewa pia kuna ngono sana tu vyuoni. Yaani wanachuo wana tabia nyingi mbaya cong ambazo hawakwenda kuzisomea ila wanaenda kuzi adapt. Ulevi na ngono ni mwingi sana vyuoni na ni sugu, wanafunzi wanajifunza tabia za ajabu katika atmosphere ya chuoni japo haikuwa specific object
Hata wabunge wanalewa na kipindi cha bunge inasemekana wanaojiuza wanaelekea Dodoma. Je wapigakura wamewatuma hayo?
Kwahiyo tuseme wabunge wapunguziwe posho kwa tabia hizo?