Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
- Thread starter
- #41
Sijui waliokua wanampigia makofi nao tuwaitejeMpuuzi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui waliokua wanampigia makofi nao tuwaitejeMpuuzi kabisa
Waafrika tuna ubinafsi sana. Hata hawa wanachuo wanaomlalamikia huyo mbunge wanasumbuliwa na ubinafsi kwa sababu wabunge siku zote hutoa michango ya hovyo sana lakini wanalalamikia sana hili kwa sababu limewagusa moja kwa moja. Angesema kodi iongozwe kwa wafanya biashara au wakulima hao wanachuo wasingelalamika.Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.
Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?
Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake
Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?
Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?
Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Unarukaruka tu kama bata bukini, boom lifutwe?Hapo ulevi umeongelewa pia kuna ngono sana tu vyuoni. Yaani wanachuo wana tabia nyingi mbaya cong ambazo hawakwenda kuzisomea ila wanaenda kuzi adapt. Ulevi na ngono ni mwingi sana vyuoni na ni sugu, wanafunzi wanajifunza tabia za ajabu katika atmosphere ya chuoni japo haikuwa specific object
Hao tuwasamehe tu wengi wanakuwaga wamelala wakistuka tu usingizini anaanza kugonga meza bila kujuwa kinachoongelewa.Sijui waliokua wanampigia makofi nao tuwaiteje
Ebwanaeeee hapo wanaiita lugha yakuudhiHao tuwasamehe tu wengi wanakuwaga wamelala wakistuka tu usingizini anaanza kugonga meza bila kujuwa kinachoongelewa.
Huwa wanakesha kwenye pombe wanalala late night, kwahiyo muda wa bunge wanakuwa na wenge wakipigwa na Ac kidogo tu lazima walale na mashuzi juu.
Walaumiwe waliompeleka bungenihuyo mbunge labda ana mtoto au ndugu yake yupo chuo ni mlevi, hv boom linatosha mpaka kulewea? nikiwa chuo hata msosi tu lilikuwa halitoshi, watu talikuwa wanakula mikate ili angalau siku zisogee kabla hatujaaza kupiga mizinga kwa ndugu, leo mbunge anasema wanachuo wanalewea boom? maajabu haya
Majinga kabisa, halafu eti ni mbunge wa Bunda vijijini, hivyo vijiji vyake anavyoongoza mzazi yupi mwenye uwezo wa kugharamia masomo ya elimu ya juu ya mwanawe?Ebwanaeeee hapo wanaiita lugha yakuudhi
Magufuli aliiba uchaguzi, waliopelekwa na wananchi kwenye hili bunge ni wachache sana.Walaumiwe waliompeleka bungeni
Naona labda anataka walienjaa akawanunuzeTafiti zinasema baadhi ya wasio na boom wamekuwa makahaba, sasa mheshimiwa anataka wote wawe makahaba.
komaa na mtoa hoja mbungeUnarukaruka tu kama bata bukini, boom lifutwe?
huyo alikutana na binti wa chuo, akajifaragua yy ni mbunge, alipoomba mchezo akaambiwa kimoja 50k, ndo akaja kumalizia hasira kwenye boom, kummmmke zake.Naona labda anataka walienjaa akawanunuze
Huyo anayezungumziwa hapa. Kama sio akili ya kilevi huwezi kujiandaa kutoa hoja kama hiyokama akina nani?
kuna umuhimu wa wabunge kupimwa kama wamekunywa pombe kabla ya kuingia ukumbi wa bunge na kuanza kuchangia hojaHuyo anayezungumziwa hapa. Kama sio akili ya kilevi huwezi kujiandaa kutoa hoja kama hiyo
Amefika level ya undergraduate studies huyu?Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.
Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?
Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake
Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?
Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?
Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Maelezo kidogo ya muwakilishi wa wananchi wa Bunda vijijini hayo hapo chini
Naunga hojaEti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.
Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?
Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake
Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?
Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?
Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Maelezo kidogo ya muwakilishi wa wananchi wa Bunda vijijini hayo hapo chini
Pia soma Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
Msamehe..Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.
Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?
Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake
Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?
Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?
Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Maelezo kidogo ya muwakilishi wa wananchi wa Bunda vijijini hayo hapo chini
Pia soma Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea