Mchango wa Mbunge Getere wa "Wanachuo wasipewe boom" umemvua nguo

Mchango wa Mbunge Getere wa "Wanachuo wasipewe boom" umemvua nguo

Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.

Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?

Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake

Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?

Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?

Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.
Waafrika tuna ubinafsi sana. Hata hawa wanachuo wanaomlalamikia huyo mbunge wanasumbuliwa na ubinafsi kwa sababu wabunge siku zote hutoa michango ya hovyo sana lakini wanalalamikia sana hili kwa sababu limewagusa moja kwa moja. Angesema kodi iongozwe kwa wafanya biashara au wakulima hao wanachuo wasingelalamika.
 
Hahaa wewe jamaa huu wasifu upo kwenye taarifa za bunge au?
 
Hapo ulevi umeongelewa pia kuna ngono sana tu vyuoni. Yaani wanachuo wana tabia nyingi mbaya cong ambazo hawakwenda kuzisomea ila wanaenda kuzi adapt. Ulevi na ngono ni mwingi sana vyuoni na ni sugu, wanafunzi wanajifunza tabia za ajabu katika atmosphere ya chuoni japo haikuwa specific object
Unarukaruka tu kama bata bukini, boom lifutwe?
 
Sijui waliokua wanampigia makofi nao tuwaiteje
Hao tuwasamehe tu wengi wanakuwaga wamelala wakistuka tu usingizini anaanza kugonga meza bila kujuwa kinachoongelewa.

Huwa wanakesha kwenye pombe wanalala late night, kwahiyo muda wa bunge wanakuwa na wenge wakipigwa na Ac kidogo tu lazima walale na mashuzi juu.
 
Hao tuwasamehe tu wengi wanakuwaga wamelala wakistuka tu usingizini anaanza kugonga meza bila kujuwa kinachoongelewa.

Huwa wanakesha kwenye pombe wanalala late night, kwahiyo muda wa bunge wanakuwa na wenge wakipigwa na Ac kidogo tu lazima walale na mashuzi juu.
Ebwanaeeee hapo wanaiita lugha yakuudhi
 
huyo mbunge labda ana mtoto au ndugu yake yupo chuo ni mlevi, hv boom linatosha mpaka kulewea? nikiwa chuo hata msosi tu lilikuwa halitoshi, watu talikuwa wanakula mikate ili angalau siku zisogee kabla hatujaaza kupiga mizinga kwa ndugu, leo mbunge anasema wanachuo wanalewea boom? maajabu haya
Walaumiwe waliompeleka bungeni
 
Huyo anayezungumziwa hapa. Kama sio akili ya kilevi huwezi kujiandaa kutoa hoja kama hiyo
kuna umuhimu wa wabunge kupimwa kama wamekunywa pombe kabla ya kuingia ukumbi wa bunge na kuanza kuchangia hoja
 
Nchi yetu ipo hapa ilipo kwasababu ya kuongozwa na watu wenye mentality za kimasikini kama hawa. Chakula, mavazi , na malazi ni basic needs ambazo kila mtu anatakiwa apate, unfortunately hawa wanaona raha wenzao kustruggle kupata kitu cha kuweka mdomoni.

Mtu amekulia kwao kuna njaa hatari, akiona mwenzie analala njaa wala si big deal kwake.

Shame on him.
 
Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.

Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?

Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake

Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?

Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?

Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.

Maelezo kidogo ya muwakilishi wa wananchi wa Bunda vijijini hayo hapo chini
Amefika level ya undergraduate studies huyu?
 
Kichwa cha thread kinajieleza chenyewe

Naona huko mitandaoni mijadala imekuwa mikali sana, chonde chonde wanafunzi hayo ni maoni binafsi ya mbunge labda na Wapiga kura wake ambao wengi ni wa vyama vya upinzani

Mlale Unono 🐼
 
Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.

Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?

Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake

Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?

Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?

Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.

Maelezo kidogo ya muwakilishi wa wananchi wa Bunda vijijini hayo hapo chini

Pia soma Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
Naunga hoja
 
Eti mbunge huyo wa Bunda vijijini Boniface Mwita Getere anasema wanachuo wasipewe boom kwani wanafunzi wanaopewa boom hawana nidhamu, niwalevi, na hawasomi.

Anadai eti walipiwe karo tu kuhusu matumizi watalipiwa na wazazi wao. Sasa hajajua kama hakuna wazazi ambao hawana uhakika wa kula? Hajajua kama huo ni mkopo sio msaada? Hajajua kama bado boom nikidogo wanavyuo wanaomba waongezewe?

Hivi amesoma chuo huyo mbunge au amesoma shule za bweni? Au anataka wanachuo wachemshiwe mihogo na chai rangi kama wanafunzi wa boarding? Mbona wapo wanafunzi ambao wanawasaidia ndugu zao kwa hilo boom, je mbona hajawatambua? Ameonesha chuki kubwa kwa watanzania wenzake

Je, hakuna wabunge walevi? Hakuna wabunge ambao hawana nidhamu? Hakuna wabunge ambao wanasinziatu kwa mujibu wa aliyekua RC wa DSM kipindi cha nyuma? Mbona tunaona wabunge marakadhaa wakinyamazishwa waache kelele bungeni? Hawaoni kama wanaonekana na wananchi?

Nimara ngapi wanapitisha miswada inakua sheria mfano mambo ya tozo na muda kidogo wakaondoa? Sio kama walichemka? Mbona hawajawahi kutuomba radhi?

Kwani yeye hela anazolipwa kama mbunge hakuna ziada? Mbunge huyo amejiaibisha, ameishusha hadhi yake na amewavua ngua wapigakura wake. Nashawishika kusema hafai tena kurudi bungeni.

Maelezo kidogo ya muwakilishi wa wananchi wa Bunda vijijini hayo hapo chini

Pia soma Mbunge Getere: Boom lifutwe, wanafunzi wanatumia kulewea
Msamehe..
 
Back
Top Bottom