Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
A Fool and his Money, are Soon Parted....Ulofa unakusumbua yaani mchango wa elfu 50 unaandika maneno yote hayo ungeambiwa mchango milioni si ungejinyonga
Kemea Pepo la umaskini likutoke kwa Jina la Yesu
Unadhani wenye pesa wakizitoa willy nilly bado wangekuwa nazo ? Bora nitoe milioni moja kwa vitu constructive (kumpa hata mtu asiye na chakula) kuliko sumni kwa vitu visivyo tija....