Mchango wa sherehe ya kumaliza Masters itakayofanyika ukumbini. Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii?

Mchango wa sherehe ya kumaliza Masters itakayofanyika ukumbini. Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii?

Sherehe mtu hula na wakwao watu hawakosekani hata uchangishe mchango wa ngoma za kutoa mwali, kigodoro,kibati ,kangamoko au mdundiko nk wako wenyewe ambao shughuli ni watu na watu ndio wenyewe hao na watachanga hata zaidi ya pesa ya kwenye kadi utashangaa tu watu kibao utabaki domo wazi na ubahili wako na roho mbaya kuwa Sherehe ya mtu isifanikiwe
Mbona matusi tena, hukulelewa kudumu na tabia njema. It seems akili zako waruwaru, no reasoning!!
 
Sielewi Wabongo huwa tunaenda kusoma ili tupate nini? Msomi wa Masters unakosaje hata common sense?
Ukiwa na common sense utakuwa mtu common sana wa kawaida mno kunahtajika mtu kuwa na akili above common sense kufanya mambo makubwa

Na wewe kama una common sense kichwa chako kibovu yaani ulienda kusoma ili uwe na common sense pole

Umepoteza muda kusoma
 
usenge kama huo sichangi. nitachanga matibabu, masomo au msiba. mambo ya maana watz hatuchangishani ujinga ndio tunachangishana. kuna wasenge ndugu zangu kipindi nahangaika safari kuja nje nawaomba mchango walikua hata jumbe hawajibu. haohao leo wananitumia whatsapp text kuomba michango. huwa nawajibu majibu ya kibedui
Shem lake kumbe upo inje!! Na mimi unanipeleka lini huko nje?
 
Kama sio muhaya sijui tu,, bora huyo anasherehekea masters, 😅😅😅kuna familia wiki 2 zilizopita imeitisha mchango kwa aliyemaliza la saba, na ambao hatukuchanga tumekuwa wabaya, 😅😅 wahaya hapana wapewe nchi yao wale watu
 
Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.

Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=

Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Asipochangiwa hapewi cheti?
Kama jibu ni ndio achangiwe,kama jibu ni hapana hasichangiwe ila achapwe viboko 12.
 
Kama unaweza changia huwezi acha,,, lakini kaa ukijua siku utakapokua na jambo lako utaielewa dunia na watu me wake.nature haisahau kitu pia binadamu hajawahi kusahau chochote alichowahi kufanya au kufanyiwa.
 
Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.

Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=

Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Mtu mwenye hizi akili eti name kahitimu masters. Ana kweli elimu imeanguka. Bora tulete wawekezaji tu wa takeover
 
Kama unaweza changia huwezi acha,,, lakini kaa ukijua siku utakapokua na jambo lako utaielewa dunia na watu me wake.nature haisahau kitu pia binadamu hajawahi kusahau chochote alichowahi kufanya au kufanyiwa.
Huwa nachangia ishu za msingi zikiwemo shida na matatzo
 
Back
Top Bottom