A Fool and his Money, are Soon Parted....Ulofa unakusumbua yaani mchango wa elfu 50 unaandika maneno yote hayo ungeambiwa mchango milioni si ungejinyonga
Kemea Pepo la umaskini likutoke kwa Jina la Yesu
Yaani hauoni umuhimu wa kuhudhuria?Je nkiwa nayo ila nkamwambia sioni umuhimu wa hiyo sherehe?
Hatari, nliwah mkopesha mtu aongezee katka mahari yake, akaingia mitini na pesa yangu. Ngawa na ndoa haikudumuJuzi nlikutana na jamaa ni muha..hatujuani kiivo ila kaanz kulitelea story mara ameenda kwa wakwe wanataka mahari Milion 1 ila yeye ana nusu yake tu...Sasa anataka hyo nusu nyingine tumchangie....aysee ndo nliona kituko Cha mwaka...Sasa kama mahari umeshindwa kutoa huyo mtoto wa mtu atawezaje kuishi nae?
Hajatajwa mtu hapa ndugu. Kumdhalilisha mtu ni kumtaja au kuweka picha yake hapa.Mambo mengne ni rahisi tu na haina haja ya kuaibisha watu km unaweza kuchangia basi fanya ivyo na km unaona huwezi changia bas potezea haina haja ya kuzalilisha watu kwa maamuzi yao binafsi
Unaweza fanya huwezi acha basi kutafta maoni ya watu ili kumzalilisha mtu sio poa
Hizi ni sherehe za ovyo kabisa. Mwache asherekee yeye mwenyewe pamoja na familia yake asituchoshe na michango isiyokuwa na kichwa wlaa miguu.Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.
Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=
Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Kaa mbali na mimi nachanghisha hadi graduation ya mtoto wa chekecheaWe nae ndo wale wale wa kuchangisha michango ya birthday
Kwamba ninayo ila sioni umuhimu wa kuchangia sherehe ya aina hiyo.Yaani hauoni umuhimu wa kuhudhuria?
Waambie umebanwa utashindwa kufika.
Harsh language hiyo Kwako wewe sio muhimu kwake muhimuJe nkiwa nayo ila nkamwambia sioni umuhimu wa hiyo sherehe?
Ndo maana kumbe.Kaa mbali na mimi nachanghisha hadi graduation ya mtoto wa chekechea
Mwambie hasisumbue watu, graduation huwa haichangiwi.Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.
Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=
Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Danganya.Kwamba ninayo ila sioni umuhimu wa kuchangia sherehe ya aina hiyo.
Sawa ila mchango atoeYaani hauoni umuhimu wa kuhudhuria?
Waambie umebanwa utashindwa kufika.
Kwenu ndiko graduation huwa haichangiwi kwetu huwa tunachangiaMwambie hasisumbue watu, graduation huwa haichangiwi.
Unajionaje kuchangisha sherehe za namna hiyo ikiwemo birthday. Kwa nini kama kama unazipenda sana hizo sherehe, why usijipange mwenyewe then ukafanya ukaribisho tu kwa watu kuhudhuria, ili atayepata nafasi afike atayekosa basi. Kuliko ukose hiyo michango kwa watu wasioona umuhimu wa vitu hivyo then ukabak kuwachukia bure, kumbe sherehe zenyewe za kidwanzi.Kwenu ndiko graduation huwa haichangiwi kwetu huwa tunachangia
Utoe tu kadi isirudi tu
Sherehe mtu hula na wakwao watu hawakosekani hata uchangishe mchango wa ngoma za kutoa mwali, kigodoro,kibati ,kangamoko au mdundiko nk wako wenyewe ambao shughuli ni watu na watu ndio wenyewe hao na watachanga hata zaidi ya pesa ya kwenye kadi utashangaa tu watu kibao utabaki domo wazi na ubahili wako na roho mbaya kuwa Sherehe ya mtu isifanikiweUnajionaje kuchangisha sherehe za namna hiyo ikiwemo birthday. Kwa nini kama kama unazipenda sana hizo sherehe, why usijipange mwenyewe then ukafanya ukaribisho tu kwa watu kuhjdhuria, ili atayepata nafasi afike atayekosa basi. Kuliko ukose hiyo michango kwa watu wasioona umuhimu wa vitu hivyo tjen ukabak kuwachukia bure, kumbe n
huenda ikawa kweli sikupingi. watz na mshikamano wapi na wapi. sisi kunafikiana.Michango sio kwenye shida tu na kwenye furaha pia wewe
Mbona wengine tunachangia vyote kwenye koo zetu ada tunachangia,misiba tunachangia ,matibabu tunachangia na sherehe tunachangia na tunafurahi tu kuchangia
Ukoo wenu huo ni wa malofa na hawana mshikamano . Ona sasa wamekuambukiza na wewe pepo la roho mbaya yao iliyomo ndani yao.Wangekuchangia safari yako ya nje wewe sasa hivi hata sherehe yeyote iwe ya graduation nk ungekuwa unachangia bila kinyongo.Wamekuharibu
Money is the source of many evils!!Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.
Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=
Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.