Mbona matusi tena, hukulelewa kudumu na tabia njema. It seems akili zako waruwaru, no reasoning!!Sherehe mtu hula na wakwao watu hawakosekani hata uchangishe mchango wa ngoma za kutoa mwali, kigodoro,kibati ,kangamoko au mdundiko nk wako wenyewe ambao shughuli ni watu na watu ndio wenyewe hao na watachanga hata zaidi ya pesa ya kwenye kadi utashangaa tu watu kibao utabaki domo wazi na ubahili wako na roho mbaya kuwa Sherehe ya mtu isifanikiwe
Ukiwa na common sense utakuwa mtu common sana wa kawaida mno kunahtajika mtu kuwa na akili above common sense kufanya mambo makubwaSielewi Wabongo huwa tunaenda kusoma ili tupate nini? Msomi wa Masters unakosaje hata common sense?
Shem lake kumbe upo inje!! Na mimi unanipeleka lini huko nje?usenge kama huo sichangi. nitachanga matibabu, masomo au msiba. mambo ya maana watz hatuchangishani ujinga ndio tunachangishana. kuna wasenge ndugu zangu kipindi nahangaika safari kuja nje nawaomba mchango walikua hata jumbe hawajibu. haohao leo wananitumia whatsapp text kuomba michango. huwa nawajibu majibu ya kibedui
huku kwa waarabu sio salama kwa wanawake. ngoja nikishaingia Ulaya shemela.Shem lake kumbe upo inje!! Na mimi unanipeleka lini huko nje?
Sawasawa shem lake pambanahuku kwa waarabu sio salama kwa wanawake. ngoja nikishaingia Ulaya shemela.
Kuna wakati unaona aibu kuwa mtanzania mi ndipo nilipofikia kwa sasa,Hii nchi ina mambo mengi zana ya kipuuzi bladi hell...π€¨
Nimepatia eh?π€£π€£
π€£π€£Kama sio muhaya sijui tu,, bora huyo anasherehekea masters, π π π kuna familia wiki 2 zilizopita imeitisha mchango kwa aliyemaliza la saba, na ambao hatukuchanga tumekuwa wabaya, π π wahaya hapana wapewe nchi yao wale watu
Asipochangiwa hapewi cheti?Jamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.
Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=
Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Hao watu wameshindikana kwa kupenda kujionyesha ni washamba kinomaMlem
Le
Mtu mwenye hizi akili eti name kahitimu masters. Ana kweli elimu imeanguka. Bora tulete wawekezaji tu wa takeoverJamani kuna jamaa kahitimu masters anataka kusherehekea kwa kuwakaribisha ndugu na jamaa. Hivyo nimeombwa kumchangia katika Sherehe yake hiyo ya kumaliza masters itakayofanyika Ukumbini.
Viwango :
Single Tsh. 30,000/=
Double Tsh.50,000/=
Nini maoni yako kuhusu uchangishaji wa sherehe za namna hii.
Njoo geto tuhamie Burundi πKuna wakati unaona aibu kuwa mtanzania mi ndipo nilipofikia kwa sasa,
Sitaki hata kuwa jirani na hiyo tz tusogee mbali mbali kidogoNjoo geto tuhamie Burundi π
Huwa nachangia ishu za msingi zikiwemo shida na matatzoKama unaweza changia huwezi acha,,, lakini kaa ukijua siku utakapokua na jambo lako utaielewa dunia na watu me wake.nature haisahau kitu pia binadamu hajawahi kusahau chochote alichowahi kufanya au kufanyiwa.