Mchango wa ujenzi wa kanisa aliotoa Rais Samia unatoka serikalini au mfukoni kwake? Nini kipo nyuma ya mchango huo?

Mchango wa ujenzi wa kanisa aliotoa Rais Samia unatoka serikalini au mfukoni kwake? Nini kipo nyuma ya mchango huo?

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.

Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?

Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?

Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Wakuu,

Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.

Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?

Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?

Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Anachota kodi zetu kujijenga kisiasa pesa zinatumiwa hovyo hovyo
 
Wote ni sawa ,sasa hapo hakuna ishu ya udini.

Sasa ngoja atoe ule upande mwingine utasikia maneno...kaeni kimya Rais anaweka mambo sawa,nyote mtapata hana ubaguzi.
 
Wakuu,

Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.

Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?

Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?

Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Utajua 2025 kilicho nyuma ya mchango huo!
 
Wote ni sawa ,sasa hapo hakuna ishu ya udini.

Sasa ngoja atoe ule upande mwingine utasikia maneno...kaeni kimya Rais anaweka mambo sawa,nyote mtapata hana ubaguzi.
Huo upande mwingine sisi wenyewe wa upande huu tuliwachangia tena kanisani kwetu kule Dodoma ili wapewe wao..!! Mchango alichangisha JPM. Hivyo, anayofanya Samia ni kama kuwapa na wa upande wa pili ili mzani ubalansi
 
Huo upande mwingine sisi wenyewe wa upande huu tuliwachangia tena kanisani kwetu kule Dodoma ili wapewe wao..!! Mchango alichangisha JPM. Hivyo, anayofanya Samia ni kama kuwapa na wa upande wa pili ili mzani ubalansi
Ndio hivyo tukubali hamna kuingiza udini ,maana nawajua hao jamaa zao .
 
Wakuu,

Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.

Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?

Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?

Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Subiri ukichachaguliwa kua Rais utajua matumizi halisi wa mfuko wa Rais.. Kwa sasa jifiche nyuma ya simu yako uropoke. Tanzania tuna vijana wa juaji.. Kila kitu wanajifanya ma profesor...
 
Wakuu,

Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.

Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?

Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?

Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Hakuna pesa ambazo rais anatoa mfukoni mwake. Pesa zote wanazochezea marais kwa manufaa yao binafsi, ni fedha za umma. Hata yale mabulungutu ambayo mwendazake alikuwa anagawa ovyo, na zile dola alizoficha Chato, zote ni fedha za umma.
 
Wakuu,

Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.

Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?

Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?

Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!

Au nasema uongo ndugu zangu?
Katika maelezo nilisikia neno familia (kama sijakosea).
Mambo ya familia yanahusu mshahara na mapato mengine binafsi.
Kama ni hivyo, bajeti ya serikali haihusiki.
 
Hizo ni kodi za watanzania.
Ni sawa na mtangulizi wake aliyekuwa anatembea na mabunda ya noti kwenye gari yake na kuyagawa njiani.
 
Magu aliwahi toa pesa kuchangia msikiti kule Sumbawanga uliokua na mgogoro na alisema ataenda yeye kuufungua na alifanya hivyo Viongozi wacha waendelee kuchangia huduma za jamii ikiwepo sehemu za ibada mimi kwangu imekaa sawa hiyo..
 
Back
Top Bottom