Mpuuz wewe magufuli alijenga msikiti pale chamwinoWote ni sawa ,sasa hapo hakuna ishu ya udini.
Sasa ngoja atoe ule upande mwingine utasikia maneno...kaeni kimya Rais anaweka mambo sawa,nyote mtapata hana ubaguzi.
Mpuuzi aliyekuzaa soma vizuri ,usiwe kama shoga .Mpuuz wewe magufuli alijenga msikiti pale chamwino
Hukusema udini jitu la ovyo kabsaaa wewe unawaza udin
TaTizo mnachukulia poa cheo cha Rais,hiyo ni hela ndogo sana kwa rais,hiyo ni pocket money ya mjukuu wake tu,rais ana ifunguo wa benki kuu,chumba kinamotunzwa hela,computer ya rais in app ambayo inamuonyesha balance iliyopo Bot,unataka kumlinganisha na naniWakuu,
Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.
Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?
Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?
Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!
Au nasema uongo ndugu zangu?
Baelezee papaa, baelezee, tomboka malamuTaTizo mnachukulia poa cheo cha Rais,hiyo ni hela ndogo sana kwa rais,hiyo ni pocket money ya mjukuu wake tu,rais ana ifunguo wa benki kuu,chumba kinamotunzwa hela,computer ya rais in app ambayo inamuonyesha balance iliyopo Bot,unataka kumlinganisha na nani
Naona uhuru umepitiliza haya kila lakheriWakuu,
Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.
Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?
Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?
Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!
Au nasema uongo ndugu zangu?
Ficha ujinga wako ukwepe aibu ndogo ndogoNaona uhuru umepitiliza haya kila lakheri
😂😂😂kwahiyo wewe ukiwa msimamizi wa fedha za watu basi una tiketi ya kuzitapanya utakavyo?TaTizo mnachukulia poa cheo cha Rais,hiyo ni hela ndogo sana kwa rais,hiyo ni pocket money ya mjukuu wake tu,rais ana ifunguo wa benki kuu,chumba kinamotunzwa hela,computer ya rais in app ambayo inamuonyesha balance iliyopo Bot,unataka kumlinganisha na nani
Nikusaidie tu pesa ikiingia serikalini kwa njia ya kodi si yako ,kodi ni malipo ya lazima kutoka kwa mtu binafsi au taasisi kwa Serikali.Kitu chako hauwezi kulazimishwa kutoa ,ishi na hiyo elimu kiduchu .😂😂😂kwahiyo wewe ukiwa msimamizi wa fedha za watu basi una tiketi ya kuzitapanya utakavyo?
Waluteli wanavyopenda pesa na wenye pesa, hutamsikia askofu alikemea maovu ya serikali tena. Wamepakwa asali midomoniWakuu,
Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.
Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?
Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?
Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!
Au nasema uongo ndugu zangu?
Husemi uongo ila unasema unafki na ufitini wahovyo. Huwezi kuhojo mtu anapojenga kanisa/ nyumba ya ibada unless unatumikia upande wa pili... Hivi akijenga nyumba yake binafsi utahoji? Viongozi wangapi wanahonga magari ya hiyohela? Au ulitaka ajenge bar? Muwe mnahoji mambo muhimu inaleta hasira kuona mtu anahoji kijinga hata mambo mazuri!!Wakuu,
Kuna anayejua matumizi ya Rais kwa mwaka? Yeye kama mtumishi wa mwananchi, raia wake tuna haki ya kujua kiasi cha mshahara anaopokea pamoja na matumizi yake.
Milioni 150 alizotoa zimetoka wapi? Zimechotwa kutoka kwenye kodi zake au ni mshahara wake?
Nini kipo nyuma ndani ya mchango huo, eneo ambalo upinzani una mzizi? Kuna nini anajaribu kutengeza?
Dalili zinaonesha 'karatasi zimeanza kununuliwa' ili kujiweka vizuri 2025! Matokeo ya 'bila kupingwa' yale yanatengenezwa taratiiibuuuu!
Au nasema uongo ndugu zangu?