Ninataka kujua mchango wa Chawa Yeriko Nyerere chadema
Zaidi ya kukitumia chama kuuza vitabu fake ana mchango gani kwa chama?
Different doctrines from all scholars around the worldJasusi kusomea wapi?
Hata sasa tulio na mawaza haya ya mabadiliko tutapingwa sana.....Kwa sisi tuliokuwa waumini wa mabadiliko nchini, tulilisema hili kitambo! Ila makamanda waliishia tu kututukana.
Ni kamanda mpiganaji hodari.Ninataka kujua mchango wa Chawa Yeriko Nyerere chadema
Zaidi ya kukitumia chama kuuza vitabu fake ana mchango gani kwa chama?
Kijana wa La Mdimu 😂Ni kamanda mpiganaji hodari.