Mchapakazi kijana Waziri Hussein Bashe, historia ya ushupavu Tanzania itamkumbuka

Mchapakazi kijana Waziri Hussein Bashe, historia ya ushupavu Tanzania itamkumbuka

Haya majinga yakipewa pesa kidogo yanakuja kusifu ujinga humu
pesa haina maana wala faida yoyote kwenye ukweli....

ukweli utabaki mchungu, ukweli utabaki kuweka watu huru,
waziri mchapakazi hodari Hussein Bashe amechochea mageuzi ya kipekee sana Tanzania, wakulima wenye mashambani tunamuona kwenye mavuno saivi . Mambo ni Bam Bam acha kabisaa 🐒
 
Hizi ID mnazoanzishia nyimbo za kusifu na kuabudu it will reach a time mtazikimbia na kuzionea haya kama umejinyea, miaka hii ni ya machawa kama wewe do it to the fullest, kama una familia sijui unafundiaha Nini watoto wako nyumbani, shame on you
kutoa maoni ni Free hata kama hayana maana,
Lakini kua na mihemko na ghadhabu ambazo pia ni useless, ni dalili Kamili za kufikia ukomo wa fikra za binadamu, anabaki kuhitimisha maoni yake kwa maneno mbofu mbofu tu kwa hasira 🐒

hata hivyo,
hiyo inabadili nini kwenye ukweli kwamba waziri mchapakazi hodari Hussein Bashe ameleta na kuchochea mageuzi makubwa kwenye kilimo?🤓
 
Jf waweke option ya emoji ya dole la kati uzi kama huu unaweka dole la kati tu
Jambo la muhimu zaidi ni kwamba waziri Husseni Bashe amesaidia pakubwa kwenye kilimo hadi sasa unakula ugali unashiba kwa Jero tu 🐒
 
Muuza CCM anapewa tenda ya sukari? majangili tupu
Jamaa alipewa sukari kidogo tu na sugar companies tycoons, aseme uongo,,,

jamaa akang'ang'ana kichizi kukomalia uongo kuufanya ukweli dah, Pesa sio kitu cha mchezo, mtu mzima na familia yake anasema uongo dah!, ila hata bunge limemuumbua vibaya!🐒

ila for sure,
Husseni Bashe is the best Minister of the year 2024. Watu wanavuna balaa mwaka huu 🐒
 
Mnapata posho kwa sababu ya hii biashara yenu ya uchawa! Sawa. Ila kusema kweli mkiwa kama vijana, hamlitendei haki hili Taifa.
Ni muhimu sana Taifa likafahamu vyema, kwamba wapo mawaziri vijana wazalendo wanaoweza kujitolea kwa nguvu zao zote na maisha yao rehani kupambania waTanzania dhidi ya wenye pesa wachache wenye nia ya kuvuruga umoja na mshikamano na kuhatarisha amani na utulivu wa nchi 🐒
Husseni Bashe, waziri wa kilimo, waziri mwenye dhamana ya kuhakikisha kila Mtanzania ameshiba na hafi njaa..

ni mfano wa kuigwa na vijana wazalendo wengine wa nchi hii
Asanti kwa mipango iliyoleta mageuzi kwenye kilimo, matokeo yake tunayaona hivi sasa 🐒
 
Naunga mkono hoja

Mm huwa inanisikitisha unakuta imeandikwa na mwanaume
kumbe nawe ni miongoni mwa wavivu, kusoma paragraphs mbili tu kijasho kinakutoka 🐒

kwa aina hiyo ya uvivu, usitegemee kua na fikra wala uelewa mpya zaidi ya hitimisho zenye mihemko, hasira na ghadhabu tu 🐒

waziri wa kilimo Hussein Bashe,
amechochea mageuzi makubwa mno kwenye sekta ya kilimo, tumpongeze kama Taifa 🐒
 
Hao wawili waliokugongea "like" natakiwa nikawapime akili, sijui nitawapata wapi.

Mleta mada unanuka uchawa.
sifahamu kama kuna like au dislike gentleman 🐒

hata hivyo hiyo sio muhimu sana ni uamuzi wako binafsi,
Ile ya maana zaidi ni kwamba waziri mchapakazi hodari Hussein Bashe ametutoa kimasomaso kama Taifa kwenye kilimo, tuna haja ya kumpa maua yake bila mihemko wala tashwishwi yoyote, right? 🐒
 
Umaskini ni mbaya sana unaweza ukakufanya ukakubali hata kubadilisha jinsia yako.
dah kuna jamaa alirubuniwa na sugar companies tycoons aseme uongo kua ukweli kwasabb ya pesa, na jamaa akakomaa nao..

kilichomkuta sasa hatosahau maisha yake yote 🐒
 
Jamaa alipewa sukari kidogo tu na sugar companies tycoons, aseme uongo,,,

jamaa akang'ang'ana kichizi kukomalia uongo kuufanya ukweli dah, Pesa sio kitu cha mchezo, mtu mzima na familia yake anasema uongo dah!, ila hata bunge limemuumbua vibaya!🐒

ila for sure,
Husseni Bashe is the best Minister of the year 2024. Watu wanavuna balaa mwaka huu 🐒
Msomali baada ya kuipiga mali za umma akapeleka return mpk kwa maza
 
Back
Top Bottom