Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
si muhimu kuujulisha umma aina ya umaskini unaokusumbua, achana na uvivu ujikomboe na hali hiyo kukosa mawazo mbadala na kuangukia kwenye mihemko na kujiskia vibaya kwa kitu usichokua na fikra tofauti nacho 🐒Hili nalo limekaa kinafiki sana sana
Acha kuongea kwa hisia, tena hisia za kisiasa. Huwa naogopa sana vijana wanaoshabikia ujinga wa namna ya akina Bashe na wenzake. Nyie ni hatari kwa taifasi muhimu kuujulisha umma aina ya umaskini unaokusumbua, achana na uvivu ujikomboe na hali hiyo kukosa mawazo mbadala na kuangukia kwenye mihemko na kujiskia vibaya kwa kitu usichokua na fikra tofauti nacho 🐒
na utajikuta unabaini ni kweli kabisaa waziri wa kilimo Hussein Bashe, ni the King of famers in Agricultural activities in Tanzania....
Tunavuna mazao haswa this time around kwasababu ya revolution strategies aloleta huyu muungwana kwenye kilimo 🐒
nahisia kali sana,Acha kuongea kwa hisia, tena hisia za kisiasa. Huwa naogopa sana vijana wanaoshabikia ujinga wa namna ya akina Bashe na wenzake. Nyie ni hatari kwa taifa
Hahahahhaa hapa ndio nimekuona boya kabisa, mimi sina kazi ya kufanya, ni kweli kabisa ila siwezi kuwa chawa. I have been here kwa umri ambao hukua hata unajua kitu, tufanye hivi, umeshinda, nikutakie wakati mwema na uchawa mwemahata hivyo,
ni miongoni mwa athari za kukosa kazi ya kufanya.
wacha nikupe mchongo gentleman,
binafsi namshukuru Mungu sana, kuwawezesha wazazi wangu, wanaKijiji na kata yangu kujenga shule ya kata na nikasoma tena baada ya kupata fursa hiyo adhimu sana ya second selections🐒hahahaa anayetegemewa na Familia na ukoo mzima, aliyesomeshwa na kijiji
kama una cha kufanya, ghadhabu, dhihaka na mihemko inatokana na nini sasa 🤣Hahahahhaa hapa ndio nimekuona boya kabisa, mimi sina kazi ya kufanya, ni kweli kabisa ila siwezi kuwa chawa. I have been here kwa umri ambao hukua hata unajua kitu, tufanye hivi, umeshinda, nikutakie wakati mwema na uchawa mwema