Mchawi kazi yake ni kuroga urudi nyuma, jilinde

Following
Nilikuwa nafuga kuku huko kusini sasa nikaweka mbegu za kuku kishingo; walifanya vizuri sana lakini jamaa moja akaniambia usifuge hawa kuku hawana soko huku watu hawanunui. Kumuuliza kwanini hakuwa na jibu
Nilifuga Hawa kuku Kuna mpemba akamnunua, kamuweka kaenda nae pembaike, nikaogopa Sana.. special yenye nguvu Sana. Anatofaut Sana strength na wakawaida, kroila ambae miez kadhaa ni mgumu kupta kienyeji yyt
 
Sikupi connection Ila nakupa Siri ....
Dar es salaam Hakuna mganga kuna Wafanyabiashara..

Dar es salaam Hakuna miti...

Utajiri nenda iringa
mapeNzi nenda mbeya/Tabora
Kinga ya mwili kigoma/ sumbawanga...

Iyo ndio connection yangu kwako.
Iringa sehemu gani mkuu,nipe ramani,nina mtu hapa mafinga anakwepa kufanya Kazi miaka miwili na pesa kashakula nusu milioni
 
Wachawi ni watu wabaya sanaa duh[emoji26][emoji26]
 
Sijawahi kuelewa logic ya watu waliofanikiwa kuwa wamebarikiwa sana.Na watu ambao hawajafanikiwa kuwa na mikosi au kwa lugha ya makanisa ya kisasa wanasema wamefungwa. Ila Wayahudi hiyo logic kwao inatumika mpaka leo. Kuna vitu vipo ila uhalisia wake jamii inaaminishwa. Mafanikio ni yale yasiyoonekana kwenye macho !
 
Haswaa
 
Uyasemayo ni kweli kabisa kwani wengi waliofanikiwa huku Uswahilini walijikita kwenye ushirikina
 
Amen
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…