Mchawi wako akifanikiwa tu Kukuroga kupitia Jezi zako kupitia Mwenzao Uliyenae utalia tu kila Siku

Pole sana mkuu.
Usimshauri utaambulia matusi makali.

Muache tu.
Sisi tulijaribu kumshauli ndio imekuwa vita.......

JF inamlinda.
Taratibu sasa unaanza Kusalimu Amri, kuwa Mpole, kutia Huruma na kukubadili kuwa huniwezi na nakuzidi vingi vya Kiuwasilishaji na Upeo / Akili.

Kudadadeki...!!
 
Israel haijawahi Kushindwa Vita na Muisraeli hajawahi Kushindwa Vita hivyo nitafurahi zaidi kama nitaingia nawe Vitani rasmi ili nikufunze Adabu na Siku zingine uiheshimu hii ID yangu hapa Jamiiforums sawa?

Huna Akili.
Kwani kuna tuzo yoyote unapewa kwa kuwa mbabe Jf?
 
Pale unapopenda kupaki school bus ile ya njano, ukiacha ile Eicher yenye mistari katikati
 
Pole sana mkuu.
Usimshauri utaambulia matusi makali.

Muache tu.
Sisi tulijaribu kumshauli ndio imekuwa vita.......

JF inamlinda.
hahahaaa huyu jamaa bwana ipo shida hakika halafu unaweza kuta ni mtu mzima kabisa ila hizi keyboard bana zinaficha mengi unaweza kuta mwamba amevaa suti kabisa na ana mke na watoto kabisa kumbe ni mtambo wa matusi
 
hahahaaa huyu jamaa bwana ipo shida hakika halafu unaweza kuta ni mtu mzima kabisa ila hizi keyboard bana zinaficha mengi unaweza kuta mwamba amevaa suti kabisa na ana mke na watoto kabisa kumbe ni mtambo wa matusi
Rubbish and Nonsensical. Idiot.
 
Rubbish and Nonsensical. Idiot.
hahahaa utakua mwanachama mzuri sana wa IPPW international pumba speaker and writter.
Sema mashabiki wengi wa simba hamnazo mnaamini lugha chafu ndio silaha yenu eti Simba wa vita kwa matusi
 
hahahaa utakua mwanachama mzuri sana wa IPPW international pumba speaker and writter.
Sema mashabiki wengi wa simba hamnazo mnaamini lugha chafu ndio silaha yenu eti Simba wa vita kwa matusi
Rubbish and Nonsensical. Damn Nut.
 
Kama umeshindwa kuja Posta

Jioni nitakuwa Mikocheni B

Naishi mtaa wa Mawaziri mkabala na mtaa wa TPDC
Ukitokea kawe ingilia kwa Warioba au kwa mwalimu Nyerere.

No ya nyumba nitakutumia Pm
Au location ukihitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ