Mcheke utoke kimaisha!!

hahahaaaa CHIKIRA MTABARI
 
kuna mama mmoja mume wake alimfumania na kiserengeti akawekwa kikao na wazee wa ukoo wakamchamba wee ooh kwanini unatembea na watoto blah blah kibao akawauliza hivi ninyi nani asopenda vitu vitamu?
hahahah wazee wakainama bila shaka, kutunga sheria hahahahaha, Ila viserengeti navyo wakati mwingine ni balaa maana kanageuza kama chapati jikoni, sikushauri sana shoga yangu kakuchezee bikira yako😀😀
 
hahahah wazee wakainama bila shaka, kutunga sheria hahahahaha, Ila viserengeti navyo wakati mwingine ni balaa maana kanageuza kama chapati jikoni, sikushauri sana shoga yangu kakuchezee bikira yako😀😀
ahaaaaa acha tu bikra hii ahaaaaa
 
h
ahahahahaha lowasaaaaaa
hahahahahah ndesamburo
hahahahhaahh rostam aziz
 
Kungekuwa na kucheka uadhibiwe upate bahati ya uliowacheka mie ningemcheka naniliu.... yaani bahati ua ukuu wa wilaya, wa mkoa na influence isiyoelezeka. Baba Jesca ningemshikaje masikio!
 
Kungekuwa na kucheka uadhibiwe upate bahati ya uliowacheka mie ningemcheka naniliu.... yaani bahati ua ukuu wa wilaya, wa mkoa na influence isiyoelezeka. Baba Jesca ningemshikaje masikio!
Sasa si umcheke tu kabisa baba J...ca hahahahahahahaha
 
Reactions: Mj1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…