Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Tanzania hakuna comedians bali ni watu wanajichekesha wakitaka watu wacheke pia... Stand up comedy za Tanzania ni upuuzi mtupu, mada zao ni shule chuo ndugu wazazi mapenzi au Marafiki.. na hazichekeshi... Hawana maarifa na exposure
Ulitaka waongelee rocket science?
Jamii ya TZ Ina kitu gani kingine Cha kuongelea?