Mchekeshaji Eric Omondi akamatwa

Gigy ni nyota ya laana ni mkosi, ukisalimiana na gigy kimbia haraka ukaoge maji ya bahari😁, mm mwenyewe nimeandika hapa neno gigy inabidi ninawe kwa maji tiririka na sabuni,💧 hat wewe uliyesoma sukutua mdomo wako vzr, neno GIGY ni laana iliyokubuka😁😁
 

Sifa zinamzidi sana halafu akili hana, mikosi anajiletea mwenyew
 
Hii show ilinifanya nika mu unfollow IG.

Too much nudity. Mtu akikukuta unaangalia inakujaribia reputation.
 
usipende kuwaamini wasanii inawezekana hta vile vituko vya gigy vilipangwa coz kila alichofanya kinarikodiwa inamaana kuna mtu alikuwa na kazi ya kuchukua yale matukio na gigy ndio scene zake hizo za ukolofi
Mimi mwenyewe Wife material 1 nilifuatilia. Alivyo kuja kusema ilikuwa scripted, nikaona huyu msen.ge anatupotezea muda.

Kwahiyo wanaofikiri Gig anajifanyia tu, wafikiri tena.

Wewe fikiri tu, why Gig in the first place ???
 
Binamu nae unashabikia ule upuuzi, mi nilishangaa ile post Eric akiwa na mdada wa Tz hadi nipples zinaonekana kabisa halafu wanakiss what the **** was that, show ya kihuni bora tu wai cancel
Hehehe walizidi etii
 
Mimi mwenyewe Wife material 1 nilifuatilia. Alivyo kuja kusema ilikuwa scripted, nikaona huyu msen.ge anatupotezea muda.

Kwahiyo wanaofikiri Gig anajifanyia tu, wafikiri tena.

Wewe fikiri tu, why Gig in the first place ???
hawa watu sio wa kuwachukulia siliaz sana, kama unakumbuka juzi tuh hpa Mange aliingilia ishu ya Mobeto na Kajala kilichotokea hatujui ila aliachana nao akaendelea na shughuli zake
 
Rudisheni home haraka Sana hyo pimbi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…