Mchekeshaji maarufu auaga ukapera

Mchekeshaji maarufu auaga ukapera

Msanii wa vichekesho aliyejipatia umaarufu mkubwa kupitia Kundi la Vituko Shoo, Chrispine Lyogello ‘Masele Chapombe’ leo ameaga ukapela baada ya kufunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi, Specioza Malick iliyofungwa katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Bikira Maria Consolata lililopo Mbezi Makabe jijini Dar es Salaam.

Kabla ya ndoa hiyo iliyofungwa leo mchana, Desemba 23, 2016 Masele na Specioza walifanay send-off Moshi, Kilimanjaro, nyumbani kwa mwanamke.
 
Uzuri wake umeridhika nae, ndio kitu muhimu sana katika ndoa au mahusiano, maana nasie tunaopenda wanaweke wazuri cha moto tunakiona. juzi chupuchupu kupelekwa segerea, nimempasua shemeji yenu.
Dah usimpige tena mwanamke bwana, natumaini utakua umejifunza kitu.
 
Back
Top Bottom