Pre GE2025 Mchekeshaji Said Said atumia Milioni 7 kutengeneza bango na kuweka picha akiwa na Rais Samia barabarani, kusambaza majiji yoye

Pre GE2025 Mchekeshaji Said Said atumia Milioni 7 kutengeneza bango na kuweka picha akiwa na Rais Samia barabarani, kusambaza majiji yoye

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mchekeshaji Said Said, aliyepiga picha na Rais Samia wakati wa usiku wa Tuzo za Wachekeshaji (Tanzania Comedy Awards), ameweka mabango ya picha hiyo katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Dodoma.

1741956117552.png
Akiweka wazi gharama alizotumia, Said amesema ametumia zaidi ya TSh milioni 7 kutengeneza na kusambaza bango hilo, likiwa limewekwa Dodoma.

Soma, Pia: Mchekeshaji mzee Shayo apiga magoti kupokea bahasha ya maokoto kutoka kwa Rais Samia. Ampigia debe urais 2025

Said amesema picha hiyo ina maana kubwa kwake na ni sehemu ya kuthamini heshima aliyopata ya kupiga picha na kiongozi mkuu wa nchi.



 
Mh! yani sisi vijana ndio maana nchi wanapeana wazee tu na wanafanya watakavyo wanajua wakiileta kwetu tutaifanya vibaya mno kama akili zenyewe ndo hizi!
 
Vijana wengi kwasasa wamejaza ugali tu kichwani.
Angempa hata mamaake cash angempa baraka zaidi, hilo bango ili iweje.
Hatujui labda hata hiyo pesa kapewa na mamaake huko juu .afanye hivyo.
 
Mchekeshaji Said Said, aliyepiga picha na Rais Samia wakati wa usiku wa Tuzo za Wachekeshaji (Tanzania Comedy Awards), ameweka mabango ya picha hiyo katika maeneo mbalimbali nchini, ikiwemo Dodoma.

Akiweka wazi gharama alizotumia, Said amesema ametumia zaidi ya TSh milioni 7 kutengeneza na kusambaza bango hilo, likiwa limewekwa Dodoma.

Soma, Pia: Mchekeshaji mzee Shayo apiga magoti kupokea bahasha ya maokoto kutoka kwa Rais Samia. Ampigia debe urais 2025

Said amesema picha hiyo ina maana kubwa kwake na ni sehemu ya kuthamini heshima aliyopata ya kupiga picha na kiongozi mkuu wa nchi.

Mpumbavuu na limbukeni
 
Kioo huonesha kile kilichoopo mbele yake.

Huyu anaonesha akili za vijana na Taifa kwa ujumla
 
Back
Top Bottom