Mchele 3200kg, maharage 3000kg na mahindi 100 yamefika 140k

Mchele 3200kg, maharage 3000kg na mahindi 100 yamefika 140k

Sis wakulima pia ni watu na saiz kilimo ni Biashara hatulimi kwaajili ya kutoa huduma tunalima kwaajili ya kuuza na sisi tusomeshe watoto wetu kwenye shule nzuri. Acha bei zpande mbona vitu vinvgne bei zimepanda
 
Viwanda vimepandisha bidhaa Bei why not wakulima ?
 
Litaundiwa tume ili wakaliangalie subiri kidogo. Tuko na msiba wa Queen Elizabeth II.
 
Kama tulivyopita kwenye sekeseke la korona, na hekaheka ya mfumuko wa bei tutapita
 
Hili suala la bei ya mazao ni wafanya biashara na wakulima wamechezesha. Yaani mchele wa jana wa 2100 leo hii ndo 2500.
Sema kuna watu watakufa vibaya.
Baada ya mafuta kushuka bei kaona aongeze mazao bei
 
Jana kwenye ziara ya Makamu wa rais Hapa Mwanza kulikuwepo na msanii anayeigiza sauti za viongozi, katika kuigiza akaweka sauti ya Jiwe na kushangiliwa kwa nderemo na vifijo hadi jukwaa kuu.

Inafikirisha sana kwanini huyu mwamba amegoma kutoka mioyoni mwa watu, kwanini Magufuli lakini?
Sasa unaona ajabu watu wa Mwanza kumshangilia mtu anayeigiza sauti ya Magufuli?
 
Hivi JPM alibarikiwa vipi hadi kupelekea kipindi cha Utawala wake hakukutokea ukame?!
Asilimia kubwa mapito tunayopitia sasa hivi kama nchi, madhara yameanzia kwenye utawala wa Magu. Alivuruga sana upande wa zao la korosho. Pia kwenye mahindi akazuia wakulima kuuza nje, hii iliyumbisha sana mitaji ya wakulima wengi.

Unajua tatizo tulilonalo watanzania wengi ni wabinafsi sana,tena sana. Imagine mtu analima msimu mzima kwa tabu, anatumia gharama zake, alaf inapofika muda wa kuuza mazao walau arudishe gharama zake na faida, analazimishwa kuuza kwa Bei ya chini ili kunufaisha walaji. Walaji wanaweza kuona serikali imefanya jambo jema kwavile wao wanapata chakula, ila haiangalii upande wa mkulima.

Serikali ilichotakiwa ni either kununua Yale mazao kwa Bei nzuri ili isimlalie mkulima, au waweke mazingira mazuri kwa wakulima kwa kuwapunguzia gharama za pembejeo za kilimo, ili kipindi cha mavuno basi wasiwe kwenye ulazima wa kuuza mazao Yao kwa gharama kubwa.

Mvua na hali ya hewa sio kitu pekee kilicho sababisha vyakula kupanda, baada ya seke seke zilizopita, wakulima wengi wamelima kwa kiwango kidogo kwa kuhofia kutumia gharama kubwa alaf return iwe ndogo. Lakini pia kupanda kwa Bei ya mbolea, imelimit wakulima na kiwango cha ulimaji.
 
na huko ruvu wanako nyang’anywa wakulima mashine za umwagiliaji hiyo selikari inataka wakulima wakalime wapi au ndo poor government support...?
 
Asilimia kubwa mapito tunayopitia sasa hivi kama nchi, madhara yameanzia kwenye utawala wa Magu. Alivuruga sana upande wa zao la korosho. Pia kwenye mahindi akazuia wakulima kuuza nje, hii iliyumbisha sana mitaji ya wakulima wengi.

Unajua tatizo tulilonalo watanzania wengi ni wabinafsi sana,tena sana. Imagine mtu analima msimu mzima kwa tabu, anatumia gharama zake, alaf inapofika muda wa kuuza mazao walau arudishe gharama zake na faida, analazimishwa kuuza kwa Bei ya chini ili kunufaisha walaji. Walaji wanaweza kuona serikali imefanya jambo jema kwavile wao wanapata chakula, ila haiangalii upande wa mkulima.

Serikali ilichotakiwa ni either kununua Yale mazao kwa Bei nzuri ili isimlalie mkulima, au waweke mazingira mazuri kwa wakulima kwa kuwapunguzia gharama za pembejeo za kilimo, ili kipindi cha mavuno basi wasiwe kwenye ulazima wa kuuza mazao Yao kwa gharama kubwa.

Mvua na hali ya hewa sio kitu pekee kilicho sababisha vyakula kupanda, baada ya seke seke zilizopita, wakulima wengi wamelima kwa kiwango kidogo kwa kuhofia kutumia gharama kubwa alaf return iwe ndogo. Lakini pia kupanda kwa Bei ya mbolea, imelimit wakulima na kiwango cha ulimaji.

ndugu yangu we hujui kitu kaa kimya magu ndo kakomboa zao la korosho kabla yake korosho ilikua 1500-1800 kwa kilo lakini ye kaja kapandisha thaman ya korosho wew itakua sio mmakonde ndo maana unalopoka longera Chinu cha kueleweka bhana......
 
Asilimia kubwa mapito tunayopitia sasa hivi kama nchi, madhara yameanzia kwenye utawala wa Magu. Alivuruga sana upande wa zao la korosho. Pia kwenye mahindi akazuia wakulima kuuza nje, hii iliyumbisha sana mitaji ya wakulima wengi.

Unajua tatizo tulilonalo watanzania wengi ni wabinafsi sana,tena sana. Imagine mtu analima msimu mzima kwa tabu, anatumia gharama zake, alaf inapofika muda wa kuuza mazao walau arudishe gharama zake na faida, analazimishwa kuuza kwa Bei ya chini ili kunufaisha walaji. Walaji wanaweza kuona serikali imefanya jambo jema kwavile wao wanapata chakula, ila haiangalii upande wa mkulima.

Serikali ilichotakiwa ni either kununua Yale mazao kwa Bei nzuri ili isimlalie mkulima, au waweke mazingira mazuri kwa wakulima kwa kuwapunguzia gharama za pembejeo za kilimo, ili kipindi cha mavuno basi wasiwe kwenye ulazima wa kuuza mazao Yao kwa gharama kubwa.

Mvua na hali ya hewa sio kitu pekee kilicho sababisha vyakula kupanda, baada ya seke seke zilizopita, wakulima wengi wamelima kwa kiwango kidogo kwa kuhofia kutumia gharama kubwa alaf return iwe ndogo. Lakini pia kupanda kwa Bei ya mbolea, imelimit wakulima na kiwango cha ulimaji.
sina uhakika sana na hoja zako.mkoa wa ruvuma unachakula cha kutosha kwa zaidi ya miaka 12 soma gazeti la jamvi la tarehe 14.09.2022 na bado bei ya mahindi ruvuma si kubwa kiasi hicho.pia wanaotumiza wananchi ni wafanya biashara na si mkulima.hakuna mkulima nayeweza kuuza mazao yake nje ya nchi na kama wapo basi ni wachache sana.wafanya biashara ndo wa kulaumiwa,wanachulia lophole ya majanga yanayotokea kupandisha bei.
 
Kla mtu atakula kwa urefu wa kamba yake wakulima kla sku wanalia bei za mbegu na pembejeo zmepanda bei na hakuna ata mwananchi anaewasaidia wala kuwaongelea
Sasa saiv wanauma mazao yao kwa bei nzuri wananchi mnataka kuruma na kulia lia.
Nunueni tu mkishindwa ingieni na nyie shamban mlime
 
ndugu yangu we hujui kitu kaa kimya magu ndo kakomboa zao la korosho kabla yake korosho ilikua 1500-1800 kwa kilo lakini ye kaja kapandisha thaman ya korosho wew itakua sio mmakonde ndo maana unalopoka longera Chinu cha kueleweka bhana......
Hapo ndio watanzania wenzangu mnaponichoshaga, ikiwa unaona nilichoongea sio sawa au sio sahihi, hutakiwi kuninyamazisha, Bali unatakiwa wewe uongee kile ambacho unahisi Mimi sijui ili niweze kukijua. Yawezekana nilichonacho sio sahihi, na nisiposahihishwa nitaendelea kukieneza.

Turudi kwenye mada, Magu alikuwa sahihi kuzuia wakulima wasiuze mahindi nje ya nchi kwa Bei nzuri? Au hata kuwapangia Bei ya kuuzia humu ndani bila kujali gharama walizotumia?
 
sina uhakika sana na hoja zako.mkoa wa ruvuma unachakula cha kutosha kwa zaidi ya miaka 12 soma gazeti la jamvi la tarehe 14.09.2022 na bado bei ya mahindi ruvuma si kubwa kiasi hicho.pia wanaotumiza wananchi ni wafanya biashara na si mkulima.hakuna mkulima nayeweza kuuza mazao yake nje ya nchi na kama wapo basi ni wachache sana.wafanya biashara ndo wa kulaumiwa,wanachulia lophole ya majanga yanayotokea kupandisha bei.
Ni kweli, wakulima wengi hawana direct connection na soko la nje ya nchi, lakini kama wanaweza kuuza kwa wafanyabiashara kwa Bei nzuri, why not?
 
Alizuia ku export mazao nje ikibidi ili kupunguza mfumuko wa bei ya vyakula maana wafanyabiashara wamesafirisha kwa kiwango kikubwa kwa sasa kuliko volume ya chakula kilichopo.

Kuna muda maamuzi yake yalisaidia kubalance hizi ishu na sio kukaa kimya na kubariki tozo za ajabu ajabu.
Sera za kuzuia export na wakulima kupata bei ya chini ndizo zimetufikisha hapa. vijana hawalimi tena, wanaendesha bodaboda. wazee waliokua wanalima wamechoka na wengine kufa. Madhara ya kumnyonya mkulima ndiyo yanaanza kuonekana.
 
Mfumuko wa bei hasa mazao ya chakula unatisha!

Mfano kilo ya mchele sasa imefika shilingi 3200kg na maharage 3000kg. Kuhusu mahindi ndiyo usiseme kabisa maana gunia la kilo 100 linauzwa laki na arobaini.

R.I.P JPM.
Tuna rais wa ajabu kabisa, ni yeye aliyewahamasisha wafanyabishara kupandisha bei za bidhaa. Rais anatamka hadharani kuwa kila kitu kitapanda nao wamemwitikia
 
sie tuna amani ..... ukrane wenye vita wanatoa msaada wa chakula hadi kwa Ethiopians majirani zetuuu
 
Mfumuko wa bei hasa mazao ya chakula unatisha!

Mfano kilo ya mchele sasa imefika shilingi 3200kg na maharage 3000kg. Kuhusu mahindi ndiyo usiseme kabisa maana gunia la kilo 100 linauzwa laki na arobaini.

R.I.P JPM.
hzo bei zko mkoa gan mkuu!
 
Back
Top Bottom