LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Mchele ukifika kg 5000 na maharage 4000 na unga 2500, tutagundua chakula mbadala...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nahis hata hiyo bei ya mchele kilo 3500 haimgusi mkulima directly. Mfano mchele wa mbagara unagharama za usafirishaji,ukoboaji,pakia na pakua ya mazao kwenye mifuko,mbolea na mbegu na madawa mengine.Kla mtu atakula kwa urefu wa kamba yake wakulima kla sku wanalia bei za mbegu na pembejeo zmepanda bei na hakuna ata mwananchi anaewasaidia wala kuwaongelea
Sasa saiv wanauma mazao yao kwa bei nzuri wananchi mnataka kuruma na kulia lia.
Nunueni tu mkishindwa ingieni na nyie shamban mlime
Jpm alikua na mbaraka tangu aingie madarakani nchi haikuwahi kuwa na ukame..pia alijitahidi kuzuia uuzwaji holela wa mazao nje ya nchi.
Ukidhibiti chakula maisha hayawezi kuwa magumu.
Sasa wahuni walichokifanya..mvua chache bado wakafungua mipaka yote..unategemea nn hapo zaidi ya maumivu.
#MaendeleoHayanaChama
Mfumuko wa bei hasa mazao ya chakula unatisha!
Mfano kilo ya mchele sasa imefika shilingi 3200kg na maharage 3000kg. Kuhusu mahindi ndiyo usiseme kabisa maana gunia la kilo 100 linauzwa laki na arobaini.
R.I.P JPM.
Honestly tunakoelekea sikoo!ifike mahali wakubali tu JPM aliwazidi pakuubwa mno!shida ya Yule mzee ni watumishi na matajiri tu ndo aliwafungia Busta ,huku chini At least waliinjoi!mchele kutoka 1300 mpk 3000 na kuendelea.Viongozi wa sasa ukimtaja tu JPM ndo wanaongeza pamba masikioni afu wanakunja ndita[emoji34][emoji34][emoji34][emoji34][emoji34]
Sijui aliwakosea nn, hata MAZURI yake hawataki yasikia!!!!!!
Wewe acha uongo, kipindi cha Magufuli watu walilima sana maana alipita mikoani na kuwaambia mtu asiye fanya kazi atakufa kwa njaa Maana Serikali aina shamba la chakula,na akawambia wakuu wote wa Mkoa wataokao tangaza njaa kwenye Mkoa wake huyo atakuwa amejifukuzisha kazi,hivi viongozi wote mikoani waliakikisha kila mtu anashamba la mazao hasa maindi, hivyo chakula kikawa kingi kwenye masoko mpaka mazao mengine yakakosa soko,ameingia Samia akapandisha mbolea mfuko yaliokuwa unauza elfu 60,000/ukapanda adi 120,000/watu wengi wakashindwa kulima ndio Maana unaonashoterge ya chakula kwenye masoko, Sasahivi vijana wameacha kulima wamewachia wazee Maana fedha za bure zimerudi mtaaniAsilimia kubwa mapito tunayopitia sasa hivi kama nchi, madhara yameanzia kwenye utawala wa Magu. Alivuruga sana upande wa zao la korosho. Pia kwenye mahindi akazuia wakulima kuuza nje, hii iliyumbisha sana mitaji ya wakulima wengi.
Unajua tatizo tulilonalo watanzania wengi ni wabinafsi sana,tena sana. Imagine mtu analima msimu mzima kwa tabu, anatumia gharama zake, alaf inapofika muda wa kuuza mazao walau arudishe gharama zake na faida, analazimishwa kuuza kwa Bei ya chini ili kunufaisha walaji. Walaji wanaweza kuona serikali imefanya jambo jema kwavile wao wanapata chakula, ila haiangalii upande wa mkulima.
Serikali ilichotakiwa ni either kununua Yale mazao kwa Bei nzuri ili isimlalie mkulima, au waweke mazingira mazuri kwa wakulima kwa kuwapunguzia gharama za pembejeo za kilimo, ili kipindi cha mavuno basi wasiwe kwenye ulazima wa kuuza mazao Yao kwa gharama kubwa.
Mvua na hali ya hewa sio kitu pekee kilicho sababisha vyakula kupanda, baada ya seke seke zilizopita, wakulima wengi wamelima kwa kiwango kidogo kwa kuhofia kutumia gharama kubwa alaf return iwe ndogo. Lakini pia kupanda kwa Bei ya mbolea, imelimit wakulima na kiwango cha ulimaji.
Hivi huku ndiko kuisoma namba au?Mfumuko wa bei hasa mazao ya chakula unatisha!
Mfano kilo ya mchele sasa imefika shilingi 3200kg na maharage 3000kg. Kuhusu mahindi ndiyo usiseme kabisa maana gunia la kilo 100 linauzwa laki na arobaini.
R.I.P JPM.
Gunia la mpunga lilinunuliwa 40,000 ,saiz 100,000.Honestly tunakoelekea sikoo!ifike mahali wakubali tu JPM aliwazidi pakuubwa mno!shida ya Yule mzee ni watumishi na matajiri tu ndo aliwafungia Busta ,huku chini At least waliinjoi!mchele kutoka 1300 mpk 3000 na kuendelea.
Kiukweli Serikali inafeli Sanaa kudhibiti mfumuko wa Bei kisingizio kisiwe Vita wala Nini inshort maza Hana mda na nchi na hua Hawazi tu.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mfumuko wa bei hasa mazao ya chakula unatisha!
Mfano kilo ya mchele sasa imefika shilingi 3200kg na maharage 3000kg. Kuhusu mahindi ndiyo usiseme kabisa maana gunia la kilo 100 linauzwa laki na arobaini.
R.I.P JPM
Putini anawaza kumaliza vitaMfumuko wa bei hasa mazao ya chakula unatisha!
Mfano kilo ya mchele sasa imefika shilingi 3200kg na maharage 3000kg. Kuhusu mahindi ndiyo usiseme kabisa maana gunia la kilo 100 linauzwa laki na arobaini.
R.I.P JPM.