Mchele haujapanda ila nyama sasa, ni balaa!

Mchele haujapanda ila nyama sasa, ni balaa!

TheDreamer Thebeliever

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2018
Posts
2,490
Reaction score
3,584
Habari wadau!

Hii nchi watu hawaishi vituko, wakati serikali ikisifia kwamba mwaka huu tunaingia katika sikukuu huku mfumuko wa bei ukiwa umeshuka.

Lakini kuna vichwa maji wanaamua kuleta mifumuko yao katika bei ya nyama, ghafla imepanda kutoka elfu 6 mpaka elfu 10 kweli hii nchi watu hawaishi vituko sasa sijuhi kuna logic gani ya kupandisha bei ya nyama hivyo.

Tunaomba serikali iingilie kati hawa wanaopandisha pandisha bei kiholela siku kama hizi.
 
Mnajua shida kubwa Tanzania ni kwamba hakuna USHINDANI WA SOKO ndio Maana Kuna watu viburi wanapandisha mabei Maana Wanajua utanunua tu
 
Acheni kulialia nyie watu wa dathramu, kitu kidogo tu vilio na kuifanya iwe ishu ya kitaifa... hamtaki wafugaji wanufaike nyie si matajiri!
Hilo ndio tatizo la watu wa mikoani yaani mnaonaga waliopo darislaam wana heeeela,kumbe ushuzi mtupu😂😂😂😂
 
Habari wadau!

Hii nchi watu hawaishi vituko, wakati serikali ikisifia kwamba mwaka huu tunaingia katika sikukuu huku mfumuko wa bei ukiwa umeshuka.

Lakini kuna vichwa maji wanaamua kuleta mifumuko yao katika bei ya nyama, ghafla imepanda kutoka elfu 6 mpaka elfu 10 kweli hii nchi watu hawaishi vituko sasa sijuhi kuna logic gani ya kupandisha bei ya nyama hivyo.

Tunaomba serikali iingilie kati hawa wanaopandisha pandisha bei kiholela siku kama hizi.
Waambie waunde tume ili kujua chanzo.Ng'ombe afuge mwingine bei apange "mfunga tai"shingoni!
 
Habari wadau!

Hii nchi watu hawaishi vituko, wakati serikali ikisifia kwamba mwaka huu tunaingia katika sikukuu huku mfumuko wa bei ukiwa umeshuka.

Lakini kuna vichwa maji wanaamua kuleta mifumuko yao katika bei ya nyama, ghafla imepanda kutoka elfu 6 mpaka elfu 10 kweli hii nchi watu hawaishi vituko sasa sijuhi kuna logic gani ya kupandisha bei ya nyama hivyo.

Tunaomba serikali iingilie kati hawa wanaopandisha pandisha bei kiholela siku kama hizi.
Mbona elfu 10 kwa kilo ndio bei ya kila siku bwashee?

Au huwa unanunua " mchanganyiko"!!!
 
Mboga ya maskini sio nyama mleta mada waachie nyama matajiri
 
Back
Top Bottom