hehe mwalim hii sredi ukichangia unatakiwa kuweka vidole hewani. sijui umeweka? na nakushauri hata thanks usigonge kwani nadhani mwisho wa hii sredi ni kupigwa ban hata waliogonga senks lol
movie limeishia pabaya sikupenda mwisho wake kiukweli ila itauza tu ktokana na waigizaji wake wamejitahidi kwa kiwango cha juu,ngoja nkatafute mchumba kuleeee:rain:
wapi twende wote kutafuta wachumba?:rain:
hahahhaha Ban mpaka kwa watoa thanks?! kweli sredi imo 😀
Mie nilikuwa napita kuwasalimia tu.........labda Ban linaweza kunisamehe
usipotee sana mwalim, si unaona wanafunzi wanamisbihevu? hawa wanafunzi wa kike nitawachapa kwa niaba yakohahahhaha Ban mpaka kwa watoa thanks?! kweli sredi imo 😀
Mie nilikuwa napita kuwasalimia tu.........labda Ban linaweza kunisamehe
mhh nimerudi mbio,kameingia na manjonjo kumbe katoto ka shule kanamiaka 20,ngoja nisakanyue kingine kama ntapata kikongwe mwenzangu ntakujulisha na wewe,maana kizuri kula na wenzio kibaya tupia mbwa au sio shosti wangu:wink2:
usipotee sana mwalim, si unaona wanafunzi wanamisbihevu? hawa wanafunzi wa kike nitawachapa kwa niaba yako
mmmhhhh bora umerudi...miaka ishirini ni wa kukuchafua tu hata sabuni ya kuogea hawezi kupa...l.o.l....kweli dear,kitu kizuri kula na mwenzio,baya chakula ya mbwa....
The Following User Says Thank You to shosti For This Useful Post:
Michelle (Today)
naondoka nikirudi muwe mmefika page ya kumi!
ha ha ha mwalim bana! nazikumbuka sana tu, mwalim anapewa ujauzito na mbeba zege halaf hasira zake anakwambia uandike jina la nchi ya czeckoslovakia ubaoni ,ukikosea spelling anakutemea mate. khaaa! na akijifungua mpaka akilejea anakuulizeni wanafunzi , tumefika wapi vile? kama hamjui anatoa mahasira yake ya breastfeeding kwako. dah! tumetoka mbali aiseeKlorokwini ushazijua zile za darasa la pili primary muhula mzima hamsomi kisa mwalimu kajifungua mtoto! hata mwalimu akirudi mshasahau hata kusoma vizuri.
Halafu wewe mbona hiyo ruhusa ishatoka zamani sana, lakini wasiwasi wangu utachapwa wewe...........au raha zaidi mkichapana 😛
ha ha ha mwalim bana! nazikumbuka sana tu, mwalim anapewa ujauzito na mbeba zege halaf hasira zake anakwambia uandike jina la nchi ya czeckoslovakia ubaoni ,ukikosea spelling anakutemea mate. khaaa! na akijifungua mpaka akilejea anakuulizeni wanafunzi , tumefika wapi vile? kama hamjui anatoa mahasira yake ya breastfeeding kwako. dah! tumetoka mbali aisee
ha ha ha mwalim bana! nazikumbuka sana tu, mwalim anapewa ujauzito na mbeba zege halaf hasira zake anakwambia uandike jina la nchi ya czeckoslovakia ubaoni ,ukikosea spelling anakutemea mate. khaaa! na akijifungua mpaka akilejea anakuulizeni wanafunzi , tumefika wapi vile? kama hamjui anatoa mahasira yake ya breastfeeding kwako. dah! tumetoka mbali aisee
naondoka nikirudi muwe mmefika page ya kumi!
yaani mwalimu haya maisha samtaimu unaona bora ungezaliwa libya tu. afazali siku hizi wameanza kujirekebisha baada ya kujiunga na facebook, nadhani hata udongo wameacha kutafuna.ahahahha duh Klorokwini nilikumiss kweli! hahaahha @ anakutemea mate. Sipati picha kama anakula na udongo pia kisha anarusha mate! lolz
By the time anapata mtoto mbeba zege keshahama jimbo, lazima wanafnzi mumtambue.
michelle najua unatafta njia ya kuniambia unanimind. nambie tu usimuonee aibu mwalim gaijin.:A S 13::A S 13: kama wewe ndo product ya aina hii ya walimu,tangu leo sitakushangaa kwanini uko ulivyo.....you know what am saying.....l.o.l
michelle najua unatafta njia ya kuniambia unanimind. nambie tu usimuonee aibu mwalim gaijin.
yaani mwalimu haya maisha samtaimu unaona bora ungezaliwa libya tu. afazali siku hizi wameanza kujirekebisha baada ya kujiunga na facebook, nadhani hata udongo wameacha kutafuna.
yello bello! aleluyah!nakumind Kloro....:rain:
you are way too funny! @wamejiunga fb
Duh! mie namkumbuka mwalimu mmoja alikuwa na mtindi huo!duh! wanafunzi tukimuona hatumtizami usoni tunashangaa anwezaja kusimama sawa sawa bila ya mtindi kumvuta chini! hahaha kazi kweli kweli. Na yeye alikuwa full hasira.
Watoto wa siku hizi wanasoma academy walimu portable, wanaendesha gari!