Pre GE2025 Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4

Pre GE2025 Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
Anachofanya Waziri Mchengerwa kwa wananchi wa Jimbo lake la Rufiji walioathirika na mafuriko ni nadra sana kukiona kikifanyika kwa kiongozi wa ngazi ya juu ya Uwaziri.

Waziri Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge wa Rufiji ameongoza wadau mbalimbali kutoa misaada ya chakula na malazi kwa wananchi wake walioathirika na mafuriko Jimboni humo.

Tayali Waziri Mchengerwa ametoa milioni 40 kwa ajili ya kununua mbegu kwa wananchi wake walioathirika na mashamba yao pamoja na kugawa misaada ya vyakula, malazi, magodoro na mengine mengi.

Pia soma:Serikali: Watu 33 Wamefariki Kutokana na Mafuriko na Mvua Kubwa katika Mikoa ya Morogoro na Pwani
 
Wapeleke na ule mchele ya wahisani kutoka Marekani
 
Asimamie environmental impact assesment, mradi ukiisha, basi maji yaelekezwe njia, huo unga wa dona utaisha, na hizo hela watalipia michango ya ngoma za jando.

Let him push for systems, hata kama tenda ya kuuza mashamba makubwa ya umwagiliqji ikitangazwa watu wakanunua, shida wapi? Peope needs infrastructures.

Nasikia eti zile hela za corporate social responsibility zipo, zinafanya nini au zilifanya nini? Ziko ngapi? Watu wa mradi wanafanya nini mpaka waziri abebe tu milioni 40
 
Anachofanya Waziri Mchengerwa kwa wananchi wa Jimbo lake la Rufiji walioathirika na mafuriko ni nadra sana kukiona kikifanyika kwa kiongozi wa ngazi ya juu ya Uwaziri.

Waziri Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge wa Rufiji ameongoza wadau mbalimbali kutoa misaada ya chakula na malazi kwa wananchi wake walioathirika na mafuriko Jimboni humo.

Tayali Waziri Mchengerwa ametoa milioni 40 kwa ajili ya kununua mbegu kwa wananchi wake walioathirika na mashamba yao pamoja na kugawa misaada ya vyakula, malazi, magodoro na mengine mengi.
View attachment 2956687
Mwakani uchafuzi mkuu.
 
Anachofanya Waziri Mchengerwa kwa wananchi wa Jimbo lake la Rufiji walioathirika na mafuriko ni nadra sana kukiona kikifanyika kwa kiongozi wa ngazi ya juu ya Uwaziri.

Waziri Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge wa Rufiji ameongoza wadau mbalimbali kutoa misaada ya chakula na malazi kwa wananchi wake walioathirika na mafuriko Jimboni humo.

Tayali Waziri Mchengerwa ametoa milioni 40 kwa ajili ya kununua mbegu kwa wananchi wake walioathirika na mashamba yao pamoja na kugawa misaada ya vyakula, malazi, magodoro na mengine mengi.
View attachment 2956687
Hakunaga kitu kinakikera kama kutatua tatizo ambalo lingeweza kuzuilika. Maeneo mengi sana kwenye nchi yetu hayajapangwa, hali inayoweza kusababisha maafa kama mafuriko. Viongozi wahusika wanasubiri maafa yatokee ili watoe msaada! Duh!
 
Anachofanya Waziri Mchengerwa kwa wananchi wa Jimbo lake la Rufiji walioathirika na mafuriko ni nadra sana kukiona kikifanyika kwa kiongozi wa ngazi ya juu ya Uwaziri.

Waziri Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge wa Rufiji ameongoza wadau mbalimbali kutoa misaada ya chakula na malazi kwa wananchi wake walioathirika na mafuriko Jimboni humo.

Tayali Waziri Mchengerwa ametoa milioni 40 kwa ajili ya kununua mbegu kwa wananchi wake walioathirika na mashamba yao pamoja na kugawa misaada ya vyakula, malazi, magodoro na mengine mengi.
View attachment 2956687
Hizi mambo ndio zinawapumbaza watanzania. Viongozi wengi wanataka kuonyesha wana roho nzuri kipindi kama hiki. Kwa level yake ya uwaziri, hatakiwi kuishia hapa kwa kutoa msaada kama huu. Msaada mkubwa unatakiwa aende mbele zaidi kwa kufanya tathimini ya kilichotokea kama ni uzembe waliosababisha wachukuliwe hatua na kama ni kweli hao wananchi walishaambiwa wahame basi ahakikishe wanaondoka ili yasijirudie tena.

Hii fungulia Bwawa haijaathiri Rufiji tu. Wananchi wa kilombero nao wanalia kilio kama hicho hicho. Zaidi ya makazi 200 yamezingirwa na maji kwasababu mabwawa yamefunguliwa maji yanakosa pa kwenda. Wananchi wamepewa hifadhi kwenye mashule.

Kama utaratibu wa kufungulia mabwawa ni wa kawaida basi naanza kuelewa kwanini baadhi ya watu wa mazingira walikuwa wanapinga huu mradi. Watu wataendelea kuathirika na mafuriko kila itakapohitajika kufungulia maji

Serikali ichukue hatua. Iwahamishe wakazi wote ambao watakuwa hatarini kila mabwawa yatakapokuwa yanafunguliwa vinginevyo yatakuja kutokea madhara makubwa na watu wataishia kutoa misaada ya pole ambayo haitafuta makovu ya kudumu kwenye familia zitakazo kuwa zimeathirika
 
Anachofanya Waziri Mchengerwa kwa wananchi wa Jimbo lake la Rufiji walioathirika na mafuriko ni nadra sana kukiona kikifanyika kwa kiongozi wa ngazi ya juu ya Uwaziri.

Waziri Mchengerwa ambaye ndiye Mbunge wa Rufiji ameongoza wadau mbalimbali kutoa misaada ya chakula na malazi kwa wananchi wake walioathirika na mafuriko Jimboni humo.

Tayali Waziri Mchengerwa ametoa milioni 40 kwa ajili ya kununua mbegu kwa wananchi wake walioathirika na mashamba yao pamoja na kugawa misaada ya vyakula, malazi, magodoro na mengine mengi.

Hii habari ya wiki iliyopita imerudi tena leo kufanya nini?
 
Huo mkondo wa mafuriko inabidi uwe mashamba makubwa ya mpunga na mabwawa ya kufugia samaki. Hayo maji yazagaa bure tu.
Wanachojali ni Uchaguzi tu. Wao hawana shida na Mpunga wala Samaki.

Nchi Nyingine ingeyavuna hayo maji.

Mkiyachepusha tu mnatengeneza mashamba maelfu na mkalima hadi kiangazi bila shida
 
Back
Top Bottom