Pre GE2025 Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4

Pre GE2025 Mchengerwa abebelea mizigo ya vyakula kuwapa waathirika wa mafuriko Rufiji. Atoa milioni 4

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Viongozi wasiwe wabishi wanapopewa ushauri wa kitaalamu pale wanapotaka kutekeleza miradi hata kama hiyo miradi itawapatia maokoto mengi au kutaka sifa za kijinga.
 
Wanachojali ni Uchaguzi tu. Wao hawana shida na Mpunga wala Samaki.

Nchi Nyingine ingeyavuna hayo maji.

Mkiyachepusha tu mnatengeneza mashamba maelfu na mkalima hadi kiangazi bila shida
🤣
Hayo matrillioni yaliyotumika kufanyia kampeni mpaka gharama za uchaguzi wa 2024 na 2025, yangeelekezwa kwenye umwagiliaji tungekuwa mbali. Ngoja chawa waendelee kulipwa hela kusifia, anaupiga mwingi mno 🤣
 
Back
Top Bottom