Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu Sumbawanga Manispaa

Mchengerwa amsimamisha kazi Mganga mkuu Sumbawanga Manispaa

Hayo ni baadhi ya effects za force account. Pesa zimekata project hazijaisha.
Force account imeweka gharama za ujenzi kuwa sawa inchi nzima kwa majengo yakufanana. Yaani ujenzi wa cost ya kujenga hospital Ilala DAR ipo sawa na ya kujenga same hospital Wilaya ya Tanganyika mkoa wa Katavi, while kwenye mafuta wametofautisha.
Kufanya projects kubwa kwa force account kunawafanya watendaji wengi wa Halmashauri kuwa kama wasinamizi wa ujenzi (japo wanasimamia wasichokijua) na kupelekea huduma zingine za taaluma zao kuzorota. Mganga mkuu naye anahamia site.
Utofauti wa gharama za ujenzi uchangiwa na mambo mengi ikiwemo eneo husika ambalo lina effects kubwa sana na gharama za msingi wa jengo husika.
Ili dude la force account kama ikifanyika audit ya inchi nzima, hakuna mtendaji atakayebaki salama, kwani system nzima ilikuwa ni kinyume na construction inavyotaka

Serikali ya kiki. Daktari na ujenzi au pesa wapi na wapi?

F6yYGDaXAAA9ePR.jpeg


Ali mradi Kila waziri anasema lake kulingana na size ya kifua chake.
 
Hata hii iliyopo hairuhusu haya mambo,basi tu mambo yetu meusi.

Taabu ya hii iliyopo utamwambia nini yule mwenye mhimili uliojichimbia zaidi? Ile mingine nayo inaundwa je kwa mujibu wa hiyo katiba?

Kimsingi hii iliyopo ndiyo chanzo cha sokomoko lililopo.
 
........... uwepo wa kasoro mbalimbali zinazohusiana na ukiukwaji wa taratibu za fedha na ununuzi, usimamizi hafifu wa miradi uliochangia kutokamilika kwa ujenzi wa Hospitali ya Wilaya pamoja na kukosekana kwa ushirikishwaji.

Hayo ndiyo makosa yao.
Je hoja ya force account haina mashiko?
 
Mkuu simjui huyo Dr. lakini hapo hakuna ufisadi kwa huyo Dr. Yaani tunategemea KABISA Medical Dr. asimamie ubora kwenye ujenzi? Force account imewageuza watendaji wa halmashauri wawe wakandarasi.
Kama kweli Dr. Archie Hellar ameingia kwenye ufisadi wa kiwango hicho, nitaamini sasa kuwa hata uwe mwaminifu vipi, ukijihusisha na CCM au wanasiasa utageuka kuwa mwizi tu. Ama sivyo uwataje wezi wote kwa majina yao hadharani.
 
Kama kweli Dr. Archie Hellar ameingia kwenye ufisadi wa kiwango hicho, nitaamini sasa kuwa hata uwe mwaminifu vipi, ukijihusisha na CCM au wanasiasa utageuka kuwa mwizi tu. Ama sivyo uwataje wezi wote kwa majina yao hadharani.
Naamini kabisa huyo Dr. haelewi hata kinachosemwa. Mifumo wa force account ni uonevu kwa watendaji wengi kama huyo Dr.
 
Back
Top Bottom