WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Ndiyo utaratibu wa CCM mkitaka maendeleo basi muwe na kiongozi mkubwa Serikalini.Rasilimali za Nchi zinaelekezwa maeneo walipo Viongozi wa karibu na Mkuu wa Nchi. Kila Mtu akipata cheo ndio maendeleo yanaelekezwa huko. Kwani hakuna kanuni au sheria hadi suala lishinikizwe kutokana na cheo?
Rufiji kuwa mji siyo kosa ila kama ingetangazwa kuwa Mkoa hapo kungekuwa na maswali.Ombi la Chato ilikuwa iwe mkoa, Rufiji wanaomba iwe Halmashauri ya Mji
Umekuwa Kama uwanja wa Ndege uliopo katika Kijiji cha Gbadolite kwa Mobutu Sese Seko.Uwanja wa ndege ni aibu tupu
Tofautisha Mji na Mkoa.Kwa kweli hapa watakuwa wamefanya double standard.... Kama waliikataa Chato, basi na Rufiji ikataliwe.... Maana vigezo ni vilevile....
Sababu ya maamzi ya kijinga na sisi tunashangiliaUmekuwa Kama uwanja wa Ndege uliopo katika Kijiji cha Gbadolite kwa Mobutu Sese Seko.
Lakini vgawajiTofautisha Mji na Mkoa.
Lakini si yote hiyo itahitaji watumishi wapya, vitendea kazi nk????.... Kilichokwepwa Chato ni gharama na Eneo jipya la utawala.... Vipi kwa Kibiti?Ombi la Chato ilikuwa iwe mkoa, Rufiji wanaomba iwe Halmashauri ya Mji
Ishu ni kwamba kupanda hadhi hakukwepeki muda ukifika. Suala la Rufiji au Kibiti kupanda hadhi ya ki-halmashauri ni sahihi kama vigezo wanavyoweka vimetimia. Ila ile ya Chato kuwa Mkoa ilikuwa na ukakasi kwa sababu ni kama ilikuwa ya kulazimisha sana.Lakini vgawaji
Lakini si yote hiyo itahitaji watumishi wapya, vitendea kazi nk????.... Kilichokwepwa Chato ni gharama na Eneo jipya la utawala.... Vipi kwa Kibiti?
Acha wivuRufiji haina hadhi hiyo.lakini Kwa kuwa aliyesema ni mkwe wa rais,itawewezekana hata kuipa hadhi ya kuwa jiji la rufiji
Unaijua Rufiji inayozungumziwa sasa hivi? Kuna mabadiliko makubwa tofauti na unavyofikiriaYale Yale ya chato kujengwa hospitali ya rufaa ya Kanda yanajirudia rufiji
Kwanza nikushukuru kwa ijna zuri la Kiafrika,asante sana na ubarikiwe.Lakini vgawaji
Lakini si yote hiyo itahitaji watumishi wapya, vitendea kazi nk????.... Kilichokwepwa Chato ni gharama na Eneo jipya la utawala.... Vipi kwa Kibiti?
Kwa kuwa Mimi pia nataka kwenda kuishi huko karibu na Shamba langu !Rufiji haina hadhi hiyo.lakini Kwa kuwa aliyesema ni mkwe wa rais,itawewezekana hata kuipa hadhi ya kuwa jiji la rufiji
juju pia !Rufiji na Bagamoyo ni miji ya kihistoria, inastahili
IKWIRIRI !Wapi sasa kibiti au Ikwiriri? Rufiji ilishatengwa
sababu Dhahabu yetu imevunwa nyingi matani kwa matani kila siku iendayo kwa Mungu nadhani sio mbaya watu wa maeneo yale wakapata hata kaHospitali ka rufaa ka kufutia machozi !Yale Yale ya chato kujengwa hospitali ya rufaa ya Kanda yanajirudia rufiji
πππ..... Asante sana MkurugenziKwanza nikushukuru kwa ijna zuri la Kiafrika,asante sana na ubarikiwe.
Mkuu ... Yote hii ni double standard... Mchengerwa anataka tu kulazimisha Sababu ni waziri anayehusika na mambo hayo na mkaazi wa Eneo hilo....Ishu ni kwamba kupanda hadhi hakukwepeki muda ukifika. Suala la Rufiji au Kibiti kupanda hadhi ya ki-halmashauri ni sahihi kama vigezo wanavyoweka vimetimia. Ila ile ya Chato kuwa Mkoa ilikuwa na ukakasi kwa sababu ni kama ilikuwa ya kulazimisha sana.
Kisarawe ushirikina unawaponza ni karibu kabisa na Dar lakini hapaendelei .Kibaha imewapiga bao hata Chanika kieneo kimechipuka juzi tu kinawapiga bao .Juzi nilikuwa kisarawe aisee pale panasikitisha.
Ingawa ni moja wapo ya wilaya kongwe kabisa ila maendeleo ni duni mno.
Halmashauri tayari ina watumishi, labda bajeti ya kuboresha miundombinu ndiyo itakayoongezeka, Pia lazima bajeti iongezeke. Kupandisha hadhi mji ni cheap kuliko kuanzisha eneo jipya kama mkoaLakini vgawaji
Lakini si yote hiyo itahitaji watumishi wapya, vitendea kazi nk????.... Kilichokwepwa Chato ni gharama na Eneo jipya la utawala.... Vipi kwa Kibiti?
π€£Mmmmmm kweli mupe muruke.....nkweee ukweniii