Mchengerwa: Rais ameridhia kuipandisha hadhi Rufiji kuwa Halmashauri ya Mji. Soko kubwa na Stendi kuanza kujengwa

Vijana jifunzeni kumpelekea moto vizuri mutoto wa mamamkwe...
Maisha so magumu ila pia muoe penye rutba muache ulofa (in mukapa voisi)
 
Ok. Labda kama ni Political Games.
Ila Chalinze tayari ni Wilaya tangu December 2020
 
Halafu hawaoni hata aibu kusema mitano tena ya nini kwa utaratibu wa upendeleo wa kimaendeleo kwa rasilimali za Nchi si sawa kabisa. Maadili ya Viongozi yameishia wapi jamani?

Inasikitisha na kushangaza mno aisee !
 
Duh hii nchi mahali ilipofikia Mungu atusaidie.
 
Hahaha kwanini Chalinze isiwe MKOA, na Msoga liwe jiji? Hilo nalonendeni mkaliangalie.
 
Hapana.... Chalinze ni Halmashauri.... Ni sehemu ya Wilaya ya Bagamoyo... Au ulikuwa hulijui hili?....????
Ninafahamu hilo kuwa ni Halmashauri na ilianza rasmi 2016 baada ya maeneo kutengwa 2015. Ila Mchakato wa kuifanya iwe Wilaya ilikuwa December 2020; naona haikufanikiwa.
 
makao makuu ya wilaya ya rufiji yapo utete
 

View: https://x.com/Jambotv_/status/1867627948863594579?t=KyUmIvaK4s-j5jvqNaF9Mw&s=19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…