Mchengerwa: Wakurugenzi Kama kuna miradi ya kuisimamia kipindi hiki kaisimamieni kwa weledi ili kuwapunguzia viongozi maswali kwa wananchi

Mchengerwa: Wakurugenzi Kama kuna miradi ya kuisimamia kipindi hiki kaisimamieni kwa weledi ili kuwapunguzia viongozi maswali kwa wananchi

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wametakiwa kusimamia kwa weledi miradi ya maendeleo ili kuwapunguzia viongozi maswali kwa wananchi.

Maelekezo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa jijini Dodoma kwenye kikao kazi kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na matumizi ya mfumo kielektroniki wa ununuzi (NeST).

Aidha, Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na Wakuu wa vitengo vya Manunuzi kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia takwa la kisheria la kutumia mfumo huo.

 
Screenshot_20250205_193337_Samsung Internet.jpg
 
Kipindi hiki cha uchaguzi maelekezo mengi tutasikia.
 
CCM Ni La Kuvunda Halina Ubani, Siku Zote Walikuwa Wapi
 
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wametakiwa kusimamia kwa weledi miradi ya maendeleo ili kuwapunguzia viongozi maswali kwa wananchi.

Maelekezo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa jijini Dodoma kwenye kikao kazi kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na matumizi ya mfumo kielektroniki wa ununuzi (NeST).

Aidha, Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na Wakuu wa vitengo vya Manunuzi kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia takwa la kisheria la kutumia mfumo huo.

View attachment 3226250
 

Attachments

  • 20250107_214111.jpg
    20250107_214111.jpg
    139 KB · Views: 3
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wametakiwa kusimamia kwa weledi miradi ya maendeleo ili kuwapunguzia viongozi maswali kwa wananchi.

Maelekezo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa jijini Dodoma kwenye kikao kazi kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na matumizi ya mfumo kielektroniki wa ununuzi (NeST).

Aidha, Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na Wakuu wa vitengo vya Manunuzi kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia takwa la kisheria la kutumia mfumo huo.

View attachment 3226250
 
Huyu anaposema kipindi "hiki"anamaanisha nini? Au anamaanisha kipindi cha kampeni?

CCM badilisheni script, this is way too old
 
Basi barabara za mitaa zitachimbuliwa ili kujifanya wanataka kuweka lami, ss hivi tushawajua mje na mbinu mpya sasa..!!
 
Kwani hana mpango wa kutumia mbinu alizotumia kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa.?

Shame Shame shame!

Tanganyika must rise again.
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wametakiwa kusimamia kwa weledi miradi ya maendeleo ili kuwapunguzia viongozi maswali kwa wananchi.

Maelekezo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa jijini Dodoma kwenye kikao kazi kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na matumizi ya mfumo kielektroniki wa ununuzi (NeST).

Aidha, Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na Wakuu wa vitengo vya Manunuzi kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia takwa la kisheria la kutumia mfumo huo.

View attachment 3226250
 
Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa wametakiwa kusimamia kwa weledi miradi ya maendeleo ili kuwapunguzia viongozi maswali kwa wananchi.

Maelekezo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohamed Mchengerwa jijini Dodoma kwenye kikao kazi kuhusu Sheria ya Ununuzi wa Umma ya mwaka 2023 na matumizi ya mfumo kielektroniki wa ununuzi (NeST).

Aidha, Mchengerwa amewataka Wakurugenzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa na Wakuu wa vitengo vya Manunuzi kwenye Sekretarieti za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa kuzingatia takwa la kisheria la kutumia mfumo huo.

View attachment 3226250
Baada ya uchaguzi wafanye wanavoweza sio!????[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Uchaguzi 2025 mbona raia watapakwa rangi ya chokaa!
Ukiisha na wamepata KULA/KURA ZAO, MWENDO WA CHUKUWACHAKOMAPEMA UNAENDELEA, TENA KWA SPIDI YA 5G!
 
Back
Top Bottom