Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

Mimi ni mwanaume, ilaa huyo dada ana akili kuliko wewe! anajuaa umeoa so hataa cha kukushawishi zaidi yaa kujivikaa ngozi ya kondooo (eti mjali mke wako) kaka jiulize:-

i) huyo aliyemzalisha yupo wap???
ii) kwa nn kamwachaa???

ushauri:
ndo kwanzaa bado famili yako changaa, mwelekeo ya familiaa huji imekaaje na piaa, sasa danganya na makalio, uweupe na vingine ukamsahau mke wako!

je wajuaa hii nguvu ya kuweze kumpangiaa nyumbaa ni baraka za mke wako unapelekaa kwa mwanamke mwingine!!!


Kaka jiwekeze achana na kuwekeza katika wanawake!
 

The soldier is down, though it may take time for him to realize that!
 
Dada ana PhD ya maisha wakati jamaa ana certificate.
 
Dah, wanawake wametuweka kwenye kona mbaya, ukicheza vibaya, unakatwa sharubu. Ujanja unaisha.😂😂
Wanawake wa kichaga nshasikia harakati zao sana tu. Kitu kikubwa mwanaume anatakiwa awe nacho ni uwezo wa kuchambua mbivu na mbichi. Ukiwa mzembe kama mtoa mada halafu unajiona mjanja umekwisha. Siku zote ukiona mambo yanaenda swadakta kwenye mahusiano ya nje jua kitu kizito kimekaribia kutua utosini mwako.
 
Badala ale kimya kimya atulie ye anataka kujiongezea msalaba mwingine
Nimependa.

Kila siku mimi nasema, mchepuko ni mtamu sana AS LONG AS NI MCHEPUKO! Huyu mleta mada asichokijua ni kwamba ukishambadilisha mchepuko status akawa mke, anakua sio mtam tena maana kawa mke sasa so itabidi aanze upya kutafuta mchepuko..

Ukitaka kuufaidi mchepuko we uache uendelee kuwa mchepuko.
 
Thats what she made for! Aliwe kimya kimya tu
 
Hahahahah dem anamvuta vuta kisha atamtia kitasa cha haja
 
Akishamuingiza ndani atamuona hafai tena, half atajilaumu ahisi aliwekewa madawa kumbe alibugi kuvunja sheria ya uchepukaji mwenyew
 
Umelogwa tayari bro.Tulia ndani ya ndoa yako.hawa wachaga wanawapenda washamba kama wewe.utakuja kulia lia humu tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…