Kwani nasema uongo ndugu yangu? In Joe's voice
Kuna ile anataja mtu yule mtu anasimama anaongea akigeuka anasema “ Kaa tu Baba”
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani nasema uongo ndugu yangu? In Joe's voice
Kupooza fresh inaeleweka but msijisahau tu, shida huyo jamaa anayetaka kwenda kutoa mahari kwa mchepuko na kuoa kabisa!Ishi sio kuoa, ni kupooza rejeta tu mkuu😂 ndo maana kuna michepuko
Tena awepo around na awe tayari kutumwa chips dume na mihogo ya kukaanga lakini asiwe karibu na wewe.Ni mateso bila chuki mbona😂
😂😂😂😂😂😂😂 itawezekanaje! Mie mke akiwa mjmzito af msumbufu ntamkimbia tu no wayTena awepo around na awe tayari kutumwa chips dume na mihogo ya kukaanga lakini asiwe karibu na wewe.
Usimtese wifi, mihogo ya kukaanga akiileta bodaboda utamu si kama ule wa inayoletwa na baba kijacho.😂😂😂😂😂😂😂 itawezekanaje! Mie mke akiwa mjmzito af msumbufu ntamkimbia tu no way
Maisha yana mambo mengi sana nimeoa miaka kadhaa iliyo pita nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimalangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara huyo dada nmemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku alipo nikubali amekuwa mwema sana sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake nimeamua kumpangia nyumba yani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu
Baba kijacho huwa hatupendwagiUsimtese wifi, mihogo ya kukaanga akiileta bodaboda utamu si kama ule wa inayoletwa na baba kijacho.
Dada ana PhD ya maisha wakati jamaa ana certificate.mimi ni mwanaume, ilaa huyo dada ana akili kuliko wewe! anajuaa umeoa so hataa cha kukushawishi zaidi yaa kujivikaa ngozi ya kondooo (eti mjali mke wako) kaka jiulize:-
i) huyo aliyemzalisha yupo wap???
ii) kwa nn kamwachaa???
ushauri:
ndo kwanzaa bado famili yako changaa, mwelekeo ya familiaa huji imekaaje na piaa, sasa danganya na makalio, uweupe na vingine ukamsahau mke wako!
je wajuaa hii nguvu ya kuweze kumpangiaa nyumbaa ni baraka za mke wako unapelekaa kwa mwanamke mwingine!!!
Kaka jiwekeze achana na kuwekeza katika wanawake!
huyi kakaa sijui ana akili gani!! huyo dada ana akili, tenaa mchagaa [emoji38]Dada ana PhD ya maisha wakati jamaa ana certificate.
Dada ana PhD ya maisha wakati jamaa ana certificate.
Dah, wanawake wametuweka kwenye kona mbaya, ukicheza vibaya, unakatwa sharubu. Ujanja unaisha.😂😂Eeh wanawake wajanja wanajua hilo yani! Anajua akijilegeza kwako utaloa mapema sana yani unakuwa mteke.
Hiki kitu watoto wa kichaga wamefunzwa na mama zao sana hasa mwanaume akiwa na hela wee usipime yani. Utalambwa miguu na kupewa K kama yote,,, hapo jua inatafutwa ndoa na mamlaka ya mke yani! Yakipatikana wanaanza kuvuna kuhamishia mali kwao huko! Mara ujenzi,mara sijui kitu gani mme anatokwa hela tu ukijimix na lile penzi huoni mbele ukija stuka umeisha!
Tutamwambia "JF at your service, Sir."Yakimkuta sisi tutakuwepo hapa muda wowote kumfariji, hatunaga baya na mtu
Nimependa.Badala ale kimya kimya atulie ye anataka kujiongezea msalaba mwingine
Mimi naenda mwezi wa tatu huu bila bila mwanangu.. 😐 Sema nazingatia ushauri wa Lenie ndio kinachoniweka mjini la sivyo sijui hali ingekuaje?Dah ila ku deal na ujauzito sio poa yani😂 kushinda njaa muda wote huo ni balaa na nusu!
Thats what she made for! Aliwe kimya kimya tuNimependa.
Kila siku mimi nasema, mchepuko ni mtamu sana AS LONG AS NI MCHEPUKO! Huyu mleta mada asichokijua ni kwamba ukishambadilisha mchepuko status akawa mke, anakua sio mtam tena maana kawa mke sasa so itabidi aanze upya kutafuta mchepuko..
Ukitaka kuufaidi mchepuko we uache uendelee kuwa mchepuko.
Hahahahah dem anamvuta vuta kisha atamtia kitasa cha hajaDah, wanawake wametuweka kwenye kona mbaya, ukicheza vibaya, unakatwa sharubu. Ujanja unaisha.😂😂
Wanawake wa kichaga nshasikia harakati zao sana tu. Kitu kikubwa mwanaume anatakiwa awe nacho ni uwezo wa kuchambua mbivu na mbichi. Ukiwa mzembe kama mtoa mada halafu unajiona mjanja umekwisha. Siku zote ukiona mambo yanaenda swadakta kwenye mahusiano ya nje jua kitu kizito kimekaribia kutua utosini mwako.
Akishamuingiza ndani atamuona hafai tena, half atajilaumu ahisi aliwekewa madawa kumbe alibugi kuvunja sheria ya uchepukaji mwenyewNimependa.
Kila siku mimi nasema, mchepuko ni mtamu sana AS LONG AS NI MCHEPUKO! Huyu mleta mada asichokijua ni kwamba ukishambadilisha mchepuko status akawa mke, anakua sio mtam tena maana kawa mke sasa so itabidi aanze upya kutafuta mchepuko..
Ukitaka kuufaidi mchepuko we uache uendelee kuwa mchepuko.
Umelogwa tayari bro.Tulia ndani ya ndoa yako.hawa wachaga wanawapenda washamba kama wewe.utakuja kulia lia humu tena.Maisha yana mambo mengi sana nimeoa miaka kadhaa iliyo pita nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimalangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara huyo dada nmemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku alipo nikubali amekuwa mwema sana sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake nimeamua kumpangia nyumba yani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu