Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahaah tuendelee kwanza na huyu Mshakaji limbukeni wa mbususu, tumalize kwanza hiliTangu lini?
Kila siku watu wanasulubiwa hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaah tuendelee kwanza na huyu Mshakaji limbukeni wa mbususu, tumalize kwanza hiliTangu lini?
Kila siku watu wanasulubiwa hapa?
Hahahaah unaangalia hizi documentaries! Kweli hii ni Man down, we need back up! Over!!I repeat man down we need backup over !
Wanawake 90% ni wadogo zake shetani, wanaona mbali, wanakuvuta kama chatu anavuta mbwa, ukijiingiza mazima anajiviringisha kwenye mwili wako then anakunyongelea mbali...furasanistsHahahaah tuendelee kwanza na huyu Mshakaji limbukeni wa mbususu, tumalize kwanza hili
Hujaelewa mada mkuu. Jamaa amenogewa na mchepuko anataka awe mke wa pili. Unaona hiyo sawa wakati ana mke kabisa na hana shida yoyote?! Na jamaa amechepuka kwa tamaa zake mwenyewe lakini anataka kujiharibia kila kitu alichojenga kwa miaka mingi.Wanaume wanafki sana
Nyie mnaosema hamna mwanaume wa mwanamke mmoja leo ndo mnampopoa mwenzenu kiasi hiki??
Ni kweli mkuu huu mwaka inabid ni slimNaomba ushahidi ktk bibilia kama hamkuruhusiwa kuoa wake zaidi ya mmoja hujachelewa bado wellcame to islam.
Naona unaongea kwa experience [emoji1][emoji1]Umenena ukweli mno humu ila pia huyo mtoto wa kike nae ana balaa sana! Yani binti wa kichaga huwa wanafunzwa ku manipulate wanaume toka kwa mama zao yeye mtoa mada anaona anapendwa sana eti!
Mwanamke akiwa anataka lake atakuwa malaika mbona utahisi ulichelewa kumfahamu! Ngoja alipate sasa atawavuruga ni balaa
[emoji3]Roger that !..over &outHahahaah unaangalia hizi documentaries! Kweli hii ni Man down, we need back up! Over!!
I'd nyingine ya Bujibuji Simba Nyanaume
Mkuu kitimoto na bia kitu gani bana?Ni kweli mkuu huu mwaka inabid ni slim
Tatizo kitimoto na bia ndo bado najifunza kuviacha viende.
Waislam kwa inshu ya kuoa mko Safi kabisa
Mkiu Apo nakuelewa sasaMkuu kitimoto na bia kitu gani bana??
Vyote vina madhara makuu ndugu yangu. Usichelewe chelewe sasa kuslim shauri yako
Kuchepuka ni hulka tu ya mtu kuna wanawake wanatimiza yote lakini wanaume zao wanatoka nje. Na kuna baadhi humu wanaume washakiri wenyewe mboga moja haiwatoshi mnasemaga kubadili ladha hivyo kuchepuka ni tabia tu wala haisababishwi na mke kutotimiza wajibu wake.Hahahaha yeye akili ameona awaweke wote pete ili ale mema ya nchi! Sema naaminigi kitu kimoja, ukimpenda mwanamke flani utakuwa nae vizuri ila ukiona umeanza kuchepuka tu jua kuna walakini utakuwa umeshajitokeza mathalani mke hakupi huduma stahiki au amejisahau!
Mwanamke akiwa anatekeleza wajibu wa mke by 100% basi jua kwamba hutakaa uwaze mchepuko hata kidogo!
mimi ni mwanaume, ilaa huyo dada ana akili kuliko wewe! anajuaa umeoa so hataa cha kukushawishi zaidi yaa kujivikaa ngozi ya kondooo (eti mjali mke wako) kaka jiulize:-
i) huyo aliyemzalisha yupo wap???
ii) kwa nn kamwachaa???
ushauri:
ndo kwanzaa bado famili yako changaa, mwelekeo ya familiaa huji imekaaje na piaa, sasa danganya na makalio, uweupe na vingine ukamsahau mke wako!
je wajuaa hii nguvu ya kuweze kumpangiaa nyumbaa ni baraka za mke wako unapelekaa kwa mwanamke mwingine!!!
Kaka jiwekeze achana na kuwekeza katika wanawake!
Dah, wanawake wametuweka kwenye kona mbaya, ukicheza vibaya, unakatwa sharubu. Ujanja unaisha.[emoji23][emoji23]
Wanawake wa kichaga nshasikia harakati zao sana tu. Kitu kikubwa mwanaume anatakiwa awe nacho ni uwezo wa kuchambua mbivu na mbichi. Ukiwa mzembe kama mtoa mada halafu unajiona mjanja umekwisha. Siku zote ukiona mambo yanaenda swadakta kwenye mahusiano ya nje jua kitu kizito kimekaribia kutua utosini mwako.
Ha ha ha kumbeMichepuko wanajua kuchezaga na Key sana...Hapo mtoa mada anapangwa vizuri tena watoto wa kichaga ndio kabisaaa wamefunzwa ku manipulate wanaume ni balaa yeye anafikiri aliemzalisha akamkimbia ni chizi?
Mie kimsingi mke akiwa ananihudumia inavyostahili siwezi chepuka sababu asili hio sina! Shida inakuja pale unaoa mke halafu anakuletea mamb za kingeseKuchepuka ni hulka tu ya mtu kuna wanawake wanatimiza yote lakini wanaume zao wanatoka nje. Na kuna baadhi humu wanaume washakiri wenyewe mboga moja haiwatoshi mnasemaga kubadili ladha hivyo kuchepuka ni tabia tu wala haisababishwi na mke kutotimiza wajibu wake.
Yes ndio sababu nikasema ni hulka tu....Mie kimsingi mke akiwa ananihudumia inavyostahili siwezi chepuka sababu asili hio sina! Shida inakuja pale unaoa mke halafu anakuletea mamb za kingese
Ningekua mke wa kwanza ningekunyweshaa juice ya asali na tango usiku bila kujua asbuh ujikute peponi[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchepuko ni sawa na kondakta wakati hujamlipa nauli huwa anakujali sana anaweza hata kukuita BABY ingawa una mandevu ili upande gari yake.
Ukishapanda ukajikuta umepeleza nauli ndo utajua wee ni baby au takoo!