Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

Trakondo[emoji39]
IMG-20211023-WA0072.jpg
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Wewe ni jasiri, shujaa na mwafrika timilifu.

Mambo ya Vatican waachie warumi.

Hakikisha unaoa na unawahudumia wote.

Ukitaka team ya washenga nitafute kwani hili ni jambo jema kabisa
 
Na hakunaga mmarangu mwanamke mjinga, unamfahamu Joyce Kiria?
Most of Marangu ke ndivyo walivyo, hawakaagi na waume wakazeeka nao
Kiria ni kibosho. Halaf she is not an opportunist ktk kumtegemea mwanaume aisee umemsingizia japo simkubali. Yeye ndo.mlezi wa wana. Wamarangu huwa macho juu juu kweki si utani.
 
The funniest part ni hapo pa amekubadilisha. Nikajua mnafanya projects kuubwaaa[emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Kijana mwenzangu hao ma single mother wana mbinu zaidi ya CIA kwani huyo aliyemzalisha kwanini hakumuoa kuwa makini husije kuleta uzi humu wa kulia lia.
 
Kwakuw hauhitaji ushauri kila la Heri mkuu

NB

Every coin has got two side.
 
Hujaelewa mada mkuu. Jamaa amenogewa na mchepuko anataka awe mke wa pili. Unaona hiyo sawa wakati ana mke kabisa na hana shida yoyote?! Na jamaa amechepuka kwa tamaa zake mwenyewe lakini anataka kujiharibia kila kitu alichojenga kwa miaka mingi.
Na ndio nashangaa unafki wa wanaume kwenye comments

Huwa mnasema hamridhiki na mtu mmoja!
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Umefanya vyema sana. mtambulishe kwa nyumba kubwa
 
Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.

Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Sawa
 
Anataka kodi, ada, msosi etc wakati huo huo anajifanya kukusitiza kumpenda Mkeo na watoto! Mmmmghh
Uzuri wa hao wanarangu amkatie milioni moja au mbili yaani ataizungusha kwenye biashara fasta utakuta baada ya muda hakuna kusumbuana mambo madogo dogo, wako vizuri kwenye biashara... Kuna wale wengine yaani unamuachia laki tano siku mbili anakuambia baby sina ela ya kulaaa
 
Inawezekana kabla hujamuoa mkeo naye alikua mchepuko wako,yaani na yeye alikua na bwana wake. Hebu sijui kama utanielewa hapa. Hebu muoe kwanza huo mchepuko kama unavyosema halafu tutaongea zaidi kwny huu huu uzi
 
Inabidi ujiulize yule aliyemzalisha mbona hajamuoa?. Inaonekana wewe bado mgeni wa haya mambo, yani kutumia miezi 3 kumtongoza mwanamke ndio kumuona ametulia!
Ya Mungu mengi labda alikufa kwa ajali mkuu, nyoka ukimfukunyua sana utaona ana miguu, mwache jamaa agonge mashine [emoji23][emoji23]
 
Anakudanganya kumjali mkeo, na wewe unakubali!! Acha "uboya" ndugu utalipia pango, school fee ya mtoto wake n.k
 
Back
Top Bottom