Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni jasiri, shujaa na mwafrika timilifu.Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Kiria ni kibosho. Halaf she is not an opportunist ktk kumtegemea mwanaume aisee umemsingizia japo simkubali. Yeye ndo.mlezi wa wana. Wamarangu huwa macho juu juu kweki si utani.Na hakunaga mmarangu mwanamke mjinga, unamfahamu Joyce Kiria?
Most of Marangu ke ndivyo walivyo, hawakaagi na waume wakazeeka nao
Kijana mwenzangu hao ma single mother wana mbinu zaidi ya CIA kwani huyo aliyemzalisha kwanini hakumuoa kuwa makini husije kuleta uzi humu wa kulia lia.Maisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Na ndio nashangaa unafki wa wanaume kwenye commentsHujaelewa mada mkuu. Jamaa amenogewa na mchepuko anataka awe mke wa pili. Unaona hiyo sawa wakati ana mke kabisa na hana shida yoyote?! Na jamaa amechepuka kwa tamaa zake mwenyewe lakini anataka kujiharibia kila kitu alichojenga kwa miaka mingi.
Umefanya vyema sana. mtambulishe kwa nyumba kubwaMaisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
SawaMaisha yana mambo mengi sana, nimeoa miaka kadhaa iliyopita. Nina mtoto mmoja natarajia kupata mwingine soon. Mwaka huu kuna dada nilimpata yeye ni single mother lakini bonge la demu yaani aliwahi kuzalishwa ni mtoto wa kimarangu mweupee tako kubwa yani amekamilika kila idara.
Huyo dada nimemtongoza karibia miezi 3 anagoma siku aliponikubali amekuwa mwema sana, sioni shida kuhudumia yeye na mtoto wake. Nimeamua kumpangia nyumba yaani ananisisitiza sana kumjali mke wangu siku sijuti kumpata maamuzi niliyo chukua ni kwamba nitaenda kwao kutoa mahari nitaoa awe mke wa pili hata kama dini hairuhusu.
Uzuri wa hao wanarangu amkatie milioni moja au mbili yaani ataizungusha kwenye biashara fasta utakuta baada ya muda hakuna kusumbuana mambo madogo dogo, wako vizuri kwenye biashara... Kuna wale wengine yaani unamuachia laki tano siku mbili anakuambia baby sina ela ya kulaaaAnataka kodi, ada, msosi etc wakati huo huo anajifanya kukusitiza kumpenda Mkeo na watoto! Mmmmghh
Vijana tafuteni pesa mle maishaa si umesikia jamaa anasema toto jeupeee halafu nyuma zigo kama la Uwoya?? [emoji12][emoji12]Hahhaahhaaaa atarudi anatambaa
Ya Mungu mengi labda alikufa kwa ajali mkuu, nyoka ukimfukunyua sana utaona ana miguu, mwache jamaa agonge mashine [emoji23][emoji23]Inabidi ujiulize yule aliyemzalisha mbona hajamuoa?. Inaonekana wewe bado mgeni wa haya mambo, yani kutumia miezi 3 kumtongoza mwanamke ndio kumuona ametulia!