Mchepuko alivyobadilisha maisha yangu

Hahahaah tuendelee kwanza na huyu Mshakaji limbukeni wa mbususu, tumalize kwanza hili
Wanawake 90% ni wadogo zake shetani, wanaona mbali, wanakuvuta kama chatu anavuta mbwa, ukijiingiza mazima anajiviringisha kwenye mwili wako then anakunyongelea mbali...furasanists
 
Wanaume wanafki sana

Nyie mnaosema hamna mwanaume wa mwanamke mmoja leo ndo mnampopoa mwenzenu kiasi hiki??
Hujaelewa mada mkuu. Jamaa amenogewa na mchepuko anataka awe mke wa pili. Unaona hiyo sawa wakati ana mke kabisa na hana shida yoyote?! Na jamaa amechepuka kwa tamaa zake mwenyewe lakini anataka kujiharibia kila kitu alichojenga kwa miaka mingi.
 
Naona unaongea kwa experience [emoji1][emoji1]
 
Ni kweli mkuu huu mwaka inabid ni slim
Tatizo kitimoto na bia ndo bado najifunza kuviacha viende.
Waislam kwa inshu ya kuoa mko Safi kabisa
Mkuu kitimoto na bia kitu gani bana?

Vyote vina madhara makuu ndugu yangu. Usichelewe chelewe sasa kuslim shauri yako
 
Kuchepuka ni hulka tu ya mtu kuna wanawake wanatimiza yote lakini wanaume zao wanatoka nje. Na kuna baadhi humu wanaume washakiri wenyewe mboga moja haiwatoshi mnasemaga kubadili ladha hivyo kuchepuka ni tabia tu wala haisababishwi na mke kutotimiza wajibu wake.
 

Labda aliyemzalisha alipatwa na mwanamke smart zaidi yake akatekwa mazima [emoji23][emoji23][emoji23]

Kama ambavyo mke wa Jamaa anaenda kuwa single mother
 

Jamaa atakuwa msukuma
 
Mchepuko ni sawa na kondakta wakati hujamlipa nauli huwa anakujali sana anaweza hata kukuita BABY ingawa una mandevu ili upande gari yake.

Ukishapanda ukajikuta umepeleza nauli ndo utajua wee ni baby au takoo!
 
Wanaume wote tungekuwa matajir,lakin nyege znatudidimiza sana
 
Michepuko wanajua kuchezaga na Key sana...Hapo mtoa mada anapangwa vizuri tena watoto wa kichaga ndio kabisaaa wamefunzwa ku manipulate wanaume ni balaa yeye anafikiri aliemzalisha akamkimbia ni chizi?
Ha ha ha kumbe
 
Mie kimsingi mke akiwa ananihudumia inavyostahili siwezi chepuka sababu asili hio sina! Shida inakuja pale unaoa mke halafu anakuletea mamb za kingese
 
Ningekua mke wa kwanza ningekunyweshaa juice ya asali na tango usiku bila kujua asbuh ujikute peponi[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
 
Mchepuko ni sawa na kondakta wakati hujamlipa nauli huwa anakujali sana anaweza hata kukuita BABY ingawa una mandevu ili upande gari yake.

Ukishapanda ukajikuta umepeleza nauli ndo utajua wee ni baby au takoo!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…