Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Mchepuko anachanganya mapenzi na pesa, nilichomfanyia nadhani kapata funzo

Ndio maana sitakagi haya mambo sijui ya kulipiwa kodi maana yanamfanya mwanamke kubweteka. Leo kesho hayupo unaanza kuhaha. Kuna jirani yangu hapa kapangiwa apartmant ya 600k, danga limekata anaanza kuhaha. Mimi nilijifunza kupanga bajeti zangu toka nimemaliza chuo. Na sikutaka kupanga nyumba ambayo mwisho wa siku sitaweza kulipa kodi.
Kwanza mtu unakaa peke yako, nyumba ya 250k ya nini?? Mwisho wa siku ukibwagwa huna hata kodi.

Na masponsor walivyo na tabia mbaya hakupangii nyumba ya bei rahisi mabayo utaweza lipa wala anakupangia apartment ya hela ndefu baada ya hapo unakuwa mtumwa wake maana ukifikiria kodi unabaki.
 
Na masponsor walivyo na tabia mbaya hakupangii nyumba ya bei rahisi mabayo utaweza lipa wala anakupangia apartment ya hela ndefu baada ya hapo unakuwa mtumwa wake maana ukifikiria kodi unabaki.

Ha ha ha.....!
Hapo juu nmecheka utadhan mazuri
images-512.jpg
 
Ha ha ha.....!
Hapo juu nmecheka utadhan mazuriView attachment 2480782
Kweli mkuu ushawahi sikia sponsor kampangia mdada nyumba ya laki?? Anajua hiyo utaweza lipa tuu, wao anakupeleka masaki au mikocheni anakupangia nyumba nzima kuanzia 500k huko.

Anakununulia na kaIST ambako mafuta unategemea kwake halafu kadi anayo yeye nambie hapo anachomokaje dada wa watu??

Ni dada mmoja tuu ndio alibahatika kujengewa nyumba na sponsor bonge la jumba ghorofa na hati kamkabidhi ila jinsi alivyomharibu sidhani hata kama anaiona raha ya nyumba anaiona.

Amemtatua marinda kiasi kwamba yule dada amekuwa teja wa hiyo michezo hawezi kaa siku bila kumtafuta sponsor wakunane. Hawezi kuwa na vijana rika lake ndio amestuck kwa mbaba huko.
 
Kweli mkuu ushawahi sikia sponsor kampangia mdada nyumba ya laki?? Anajua hiyo utaweza lipa tuu, wao anakupeleka masaki au mikocheni anakupangia nyumba nzima kuanzia 500k huko.

Anakununulia na kaIST ambako mafuta unategemea kwake halafu kadi anayo yeye nambie hapo anachomokaje dada wa watu??

Ni dada mmoja tuu ndio alibahatika kujengewa nyumba na sponsor bonge la jumba ghorofa na hati kamkabidhi ila jinsi alivyomharibu sidhani hata kama anaiona raha ya nyumba anaiona.

Amemtatua marinda kiasi kwamba yule dada amekuwa teja wa hiyo michezo hawezi kaa siku bila kumtafuta sponsor wakunane. Hawezi kuwa na vijana rika lake ndio amestuck kwa mbaba huko.
Hizi zimewakuta Sana wadada wa bongo movie wakiongozwa na wema.

Unakua sex slave kwa aibu ya utaishije baada ya breakup[emoji4]
 
Kweli mkuu ushawahi sikia sponsor kampangia mdada nyumba ya laki?? Anajua hiyo utaweza lipa tuu, wao anakupeleka masaki au mikocheni anakupangia nyumba nzima kuanzia 500k huko.

Anakununulia na kaIST ambako mafuta unategemea kwake halafu kadi anayo yeye nambie hapo anachomokaje dada wa watu??

Ni dada mmoja tuu ndio alibahatika kujengewa nyumba na sponsor bonge la jumba ghorofa na hati kamkabidhi ila jinsi alivyomharibu sidhani hata kama anaiona raha ya nyumba anaiona.

Amemtatua marinda kiasi kwamba yule dada amekuwa teja wa hiyo michezo hawezi kaa siku bila kumtafuta sponsor wakunane. Hawezi kuwa na vijana rika lake ndio amestuck kwa mbaba huko.
Duu pole yake. Sasa kuna raha gani ya kuwa na ghorofa huku umeharibiwa maisha.
 
maana walimchimba mkwara kua aliyeibiwa Simu alivamiwa na kuuwawa, wanaimalizaje kesi. Ndo jamaa akawapoza hiyo mil. 1 chap.
Mhmm nimewaza Tu ule mtindo wa kununua simu used jiji.
 
maana walimchimba mkwara kua aliyeibiwa Simu alivamiwa na kuuwawa, wanaimalizaje kesi. Ndo jamaa akawapoza hiyo mil. 1 chap.
Mhmm nimewaza Tu ule mtindo wa kununua simu used jiji.
Inaweza ikala kwako,
kua makin Sana mkuu
 
Habari wakuu,
Kuna siku Moja usiku nikiwa kwa mamaJ akanambia mchana wa Jana Yake, binti yake anayeuza dukani kwake kaibiwa Simu yake (Samsung smart phone) kwenye mazingira ya kutatanisha sana.

Anasema Hakukuwa na wateja alienda msalani chap nyuma ya fremu zao akaacha Simu chaji, aliporudi hakuikuta na kawauliza majirani wanasema hawakuona mtu akiingia ndani. Na Simu ilivyopigwa ikawa haipatikani.

Basi nikamshauri Kama Simu imepotea Ni Vema akatoe taarifa polisi, Unaweza kuzembea Simu yako imeibiwa kisha ikatumika kwenye uhalifu halafu ukaunganishwa kwny tukio la uhalifu. Akasema sawa, ataomba kesho nimpitie yeye na binti yake nnavyoenda kazini ili niwasindikize wakatoe taarifa ya kupokelewa simu polisi. Nikasema sawa.

Kweli kesho Yake asubuhi nmewapitia yeye, pamoja na binti wa dukani kwake dukani wote tumeongoza tumeelekea kituo cha polisi.

Baada ya kufika polisi, nikabaki kwenye gar na kumwambia yeye na binti wake waingie wakatoe taarifa watanikuta kwny gar nje nawasubiri tuondoke. Wakasema sawa. Sasa Baada ya kuona wamekaa ndan mda mrefu Sana hawatokei na mamaJ simu zangu hapokei, Ikabidi kumfata uko uko ndani ili afanye haraka ananipotezea Muda wangu nna Ratiba zangu nyingine. Nikamkuta ndo Yuko anatoa maelezo kwa afande.

Kuangalia Kumbe afande mwnyw tunafahamiana, kuna mahali flan tuliwahi kutana. Basi salamu za hapa na pale na afande Kisha Afande akanambia niketi amalizie kuandika maelezo Yao ili kuifungua kesi ya kuibiwa wa Simu, ili Kama uwezekano upo, simu yao ianze kufuatiliwa.

Basi nikaona ni wazo zuri. Afande akasisitiza kwamba mwizi wa Simu Hata akipatikana, Kama hakukuwahi kuwepo kesi polisi kwenye maandishi Ni ngumu Sana kumuwajibisha au kurudishiwa Simu yetu iliyoibiwa.
Nikasema sawa.

Na kingine, akasema Kama mwizi kaenda kuiflash ile kikawaida na imei number hajafanikiwa kufutika.
basi uwezekano wa kuitrack na kuikamata Ni mkubwa sana kupitia kitengo Chao cha ICT makao makuu.

Ila nao uko ICT wanataka Kwanza kesi iwepo kituoni kwny maandishi ndo waifanye kazi. Nikasema Basi wazo zuri Sana, fungueni kesi na Kama inawezekana ifuatilieni afu utanipa majibu afande tujue tunafanyaje.

Afande kasema POA, tukabadilishana mawasiliano na kumuacha afande pale kituoni. Binti karudishwa dukan kwa mamaJ , mamaJ nae kapelekwa kazini kwake, nami nikaenda kwenye shughuli zangu Kama kawaida. Siku ikaisha hivyo kwa utulivu.

Jioni yake nimeenda kwa mamaJ baada ya kufanya ya kufanya, nmeacha posho na nmeaga naondoka, mamaJ akaniomba nimsaidie nimtaftie binti yake Simu ndogo ya kutumia kwa MUDA, huku Simu ile iloibiwa ikiendelea kufuatiliwa na polisi maana bila mawasiliano dukani kwake kule Ni Changamoto Sana.

Nikamuuliza kwan ile Simu iloibiwa ilkuwa ya binti mwenyewe, Ni ya kwako au ni ya duka lako. Akasema ilikuwa ya binti mwenyewe binafsi. Nikamwambia basi ili siku nyingine awe makini, lazima umkazie na umwambie unamnunulia Simu ndogo ya kutumia itakuwa ya kwake manyw, ila mwisho wa mwezi ajue utamkata kwny mshahara wake ili awe makini next-time. Usipende kuendelea uzembe kazini, vitu vinapotea boss unalipa lipa TU kienyeji bila Kuchukua hatua, mfanyakazi wako atazoea na utapoteza vingn vingi zaid.

MamaJ Akasema sawa kanielewa, atamwambia binti. Nikamwambia kwakua Ni mambo ya dukan kwako, Simu ndogo ntanunua ila ntakukopesha, na pesa yangu mwisho wa mwezi ukipata mshahara unirudishie. Akasema haina shida nnachotaka Ni Simu tu kwanza, pesa italipwa.

Basi kesho yake kweli nmenunua Simu ndogo mpya ya Nokia 105 kwa elfu 40 na kumpeleka mamaJ, nikampa na risiti kuwa ntamdai elfu 40 yeye mwenyewe, hiyo simu akampatie binti yake wa dukani kwake aendelee na kazi. Akashukuru.
Aseee
 
Back
Top Bottom